P - Funk adai Fid Q ni MC namba moja duniani

Maarifa yapo kwenye vitabu arifuuuu sasa hamtak kusoma vitab halaf mnakuja bishania ganja??
 
1. Wabongo wengi wana concept kuwa wazungu au watu wa nje ya Africa siku zote ni bora kuliko wao..So kwa sababu hao kina kendrick wana exposure ya dunia nzima ndo mtu anahisi hawezi kupambanishwa na msanii kutoka bongo...Huu ni utaahira wa watanzania wengi sana...Siku zote kuona vya nje ni bora kuliko vyao

2. Wengi hawaelewi nini maana ya sanaa..Angekuwa Fid Q anachukua mashairi kutoka katika vitabu vya mashairi hapo ingekuwa tatizo..Japo siku zote watu wakiambiwa wataje hivyo vitabu hakuna anayetaja...But hata kama vipo bado ni sanaa kubwa sana kuweza kutoa ujumbe katika hali ya kitabu na kuiweka katika mashairi yenye vina vya maana...

3. Sio lazima msanii awe wa kimataifa na akubalike nje ya Tanzania ili awe bora...Suala la exposure linahusisha vitu vingi sana zaidi ya kipaji cha msanii mwenyewe...Vingi sana...yani inawezekana ubora wa msanii ukachangia 50% or less...But ishu za connections, marketing na fitna fitna inabidi ziwepo sana kumuuza msanii nje ya Tanzania au nje ya Africa...

Majani anaweza kuwa sahihi kwa mtazamo wake, kwa vipimo vyake alivyotumia...hizi issue huwa ni relative...Haimaanishi lazima wote tukubaliane naye
 
Very good nimekuelewa mwana wane
 
Sasa MTU halazimishwi kumkataa MTU lkin angalia unamkataa fid bongo utamkubali nani?
 
Farid namuelewa sana uandakaji wa mashairi sijamuona mwengine ila kama tujuzane wakuu.
ila jamaa ukiwa kilaza mwanzo mwisho humuelewi nini kawakilisha kwa hadhira inahitaji akili nyingi kumuelewa fid q.
Ingekua mbele basi fid ni jigga au kendrik
mkuu chukua LUSE moja bili kwangu
.nawaelewa majani na fid sana
 
Hivi ni dunia IPI mnayo ongelea labda kama kunayakwenu hiniliyopo there no room for fd
 

Hebu weka link ya hiyo clip, au taja mstari mmoja tu unaoukumbuka kuwa Jay-Z ka-copy kutoka kwenye kitabu.
 
Niungane na majani kupitisha ukweli kuwa FID Q ngosha the don ndio mc mkali kuliko wote walioko duniani kwa sasa....na hii ni kweli kabisa hasa baada ya dunia kukumbwa na uhaba na ukame mkubwa wa ma mc mahiri kama ilivyokuwa enzi za 2pac big lost boys wu tang clan na mwishomwisho kina lil wizzy.
 
Hakuna mc anaye invent new education zaidi ya ku utilize available one from different sources books and internet being one of them. ...ref nassir Jones aka NAS ....I can.
 
Farid namuelewa sana uandakaji wa mashairi sijamuona mwengine ila kama tujuzane wakuu.
ila jamaa ukiwa kilaza mwanzo mwisho humuelewi nini kawakilisha kwa hadhira inahitaji akili nyingi kumuelewa fid q.
Ingekua mbele basi fid ni jigga au kendrik
Ingekuwa mbele jigga hatii maguu. ...fid ni lyricist...level za kina nas big and Pac...kina talib kweli canibus
 
Fid Q...kwa mfano ,
ukitaka kupata rangi ya kijani changanya blu na njano.
kitabu cha sayansi ya shule ya msingi topic ya mwanga na rangi darasa la 6 na 7. Ukweli mtupu. ..

Mashairi yangu yanaenea kama mashaidi wa yehova na habari za mnara wa mlinzi....FID Q
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…