Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Mimi siyo mtu wa kukariri lyrics za nyimbo.. hiyo clip nilikuwa nayo 2011 huko kipindi niko chuo sina sasa apart from kusoma vitatu na kichukua mistari pia alishawahi kitumia mostari ya notorious B.I.G.Hebu weka link ya hiyo clip, au taja mstari mmoja tu unaoukumbuka kuwa Jay-Z ka-copy kutoka kwenye kitabu.
Inawezekana siyo kitabu cha darasa la sita kwakuwa aliyegundua mchanganyiko huo siyo muandishi wa hicho kitabu cha la 6 na 7.Fid Q...kwa mfano ,
ukitaka kupata rangi ya kijani changanya blu na njano.
kitabu cha sayansi ya shule ya msingi topic ya mwanga na rangi darasa la 6 na 7. Ukweli mtupu. ..
Mashairi yangu yanaenea kama mashaidi wa yehova na habari za mnara wa mlinzi....FID Q
Farid namuelewa sana uandakaji wa mashairi sijamuona mwengine ila kama tujuzane wakuu.
ila jamaa ukiwa kilaza mwanzo mwisho humuelewi nini kawakilisha kwa hadhira inahitaji akili nyingi kumuelewa fid q.
Ingekua mbele basi fid ni jigga au kendrik
Acha utani mkuu hao chenga kabisaBalozi,mimi mwenyewe,salu t,jcb,umbwa,etc
Mimi siyo mtu wa kukariri lyrics za nyimbo.. hiyo clip nilikuwa nayo 2011 huko kipindi niko chuo sina sasa apart from kusoma vitatu na kichukua mistari pia alishawahi kitumia mostari ya notorious B.I.G.
so sioni tatizo fid q kusoma vitatu akaweza kudeliver msg via mziki
Nakwambia kitu kilicho wazi na wala siyo tuhuma na wala kwenye hiyo clip haikuwa clip ya kujadili jay z kuchukua lines kadhaa kwenye vitabu maana msomi yoyote na mtu aliye well informed lazima awe na reference ya vitabu.Usipende kutoa tuhuma au mifano bila ushahidi then. Hoja inakosa nguvu.
Nakwambia kitu kilicho wazi na wala siyo tuhuma na wala kwenye hiyo clip haikuwa clip ya kujadili jay z kuchukua lines kadhaa kwenye vitabu maana msomi yoyote na mtu aliye well informed lazima awe na reference ya vitabu.
kuhusu kutumia baadhi ya lines za B.I.G mbona yeye mwenyewe alushatoa ufafanuzi kuwa anataka jina la B.I.G libaki hai ila ingekuwa bongo mngeanza mshambulia kama fid q.
nipe mistari hata kumi fid q aliyo copy toka vitabuni
Rudia kusoma post yangu ya kwanza kabisa wewe ndiye umesoma hukufika mwisho sijui umeishia njiani.Nakwambia kitu kilicho wazi na wala siyo tuhuma na wala kwenye hiyo clip haikuwa clip ya kujadili jay z kuchukua lines kadhaa kwenye vitabu maana msomi yoyote na mtu aliye well informed lazima awe na reference ya vitabu.
kuhusu kutumia baadhi ya lines za B.I.G mbona yeye mwenyewe alushatoa ufafanuzi kuwa anataka jina la B.I.G libaki hai ila ingekuwa bongo mngeanza mshambulia kama fid q.
nipe mistari hata kumi fid q aliyo copy toka vitabuni
kwa nyimbo zipi mkuuPF FUNK aache bange.Namba moja ni DARASA
Unataka abane pua ndio awe ana flow kisasa??Sijakataa,ila kuna vigezo vingi vya kufanya Mc awe bora,ikiwemo uandishi na delivery kwenye delivery hapa swala la flow linahusika,sasa msanii midondoko yako kila siku ileile tu inachosha,lazima uwe versatile,kwa maoni yangu mimi fid bado anaflow za kizamani sana
Alafu huyu dogo anaweza kuja kuwa mkubwa kuliko huyo OG ngoja tuoneHawezi mfikia Harmorapa
Hapo sijaona level ya fidBalozi,mimi mwenyewe,salu t,jcb,umbwa,etc
hivi darasa ni mc!?PF FUNK aache bange.Namba moja ni DARASA
Bagidadi wa K1.fid q
2.bagdad
3.songa
4.stamina
5.roma
okay, halafu mashairi yanamwingizia sh ngapi?
kama haja connect na local community ambao hata nyimbo yake moja hawaijui..na hawawezi kuhudhuria show yake hata kama ni bure, ame miss target
Umejuaje ni balaa wakati haijatoka?Kuna ngoma yake inaitwa mvua inakuja ni balaa