Huyo P Funk wakati anaongea hayo alikuwa ameshavuta Bangi ngapi? au alikuwa na msokoto mkononi?
Namshauri ajikite katika kumsaidia Mama yake kwenye mradi wa kufuga Prowns atatoka kimaisha, na yeye zama zake zimepita, aondoe kichefuchefu, au amesahau na yeye alivyokuwa ananyanyasa wasanii kwamba hawezi kurekodi na msanii ambaye siyo wa lebo yake? Watanzania kwa unafki tumepitiliza.
Hivi huyu Mvuta Bangi aliwahi hata kumtembelea Kajala jela?
Ila huyu ni wa kumsamehe bure, wenzake Ganja zilitupa misimamo lakini huyu zinamtia uchizi tu, ajikite kwenye miradi ya mama yake ya ufugaji Prowns huku kwenye Muziki kama hakupata huko nyuma hawezi kupata tena.Mpuuzi huyu! Yeye wakati ana Wannyanyasa hawa hawa Wasanii Alikuwa anajiona yupo peke yake........ Lkn kwa nini hawa watu Wanapofeli ndo Wanaibuka na hoja za Kunyonywa?
Huyo P Funk wakati anaongea hayo alikuwa ameshavuta Bangi ngapi? au alikuwa na msokoto mkononi?
Namshauri ajikite katika kumsaidia Mama yake kwenye mradi wa kufuga Prowns atatoka kimaisha, na yeye zama zake zimepita, aondoe kichefuchefu, au amesahau na yeye alivyokuwa ananyanyasa wasanii kwamba hawezi kurekodi na msanii ambaye siyo wa lebo yake? Watanzania kwa unafki tumepitiliza.
Hivi huyu Mvuta Bangi aliwahi hata kumtembelea Kajala jela?
Kwanza futa mimate yako na mapovu, P Funk ni mmoja ya watu waliouwa vipaji vya vijana kwa kuwakatalia kurecord kwake, sasa kama yeye alikuwa na Terms zake na Master Jay akawa na terms zake na Mika Mwamba akawa na Terms zake, sasa inakuwaje Terms za Ruge kwenu inakuwa ni tatizo? that's a question.usipende kukurupuka kama matapishi ya kibogoyo ukiwa mfatiliaji wa muziki utagundua kuwa ushindani ulikuepo kati ya MAJANI,RAP MASTER,MIKA MWAMBA ili waweze kuendana sawa na ushindani ndipo walipoleta RECORDS LEBO na si kwamba hili ilikua kwa P peke ake bali ata MJ NA MIKA Watu ambao wamefanya hadi leo CLOUDS INA EXIST BASI MAJANI MIONGONI MWAO REJEA MWAKA ULIOANZISHWA CLOUDS FM NA MWAKA AMBAO BONGO RECORDS ILIKUA INATAMBA SANA NDIPO ILIPOANZA BONGO RECORDS TOURS AMBAO ILIIBUA VIPAJI KAMA YA MANDOJO$DOMO KAYA ABT KAJALA ALIENDA KUMWONA
Big up majani.wameiba sana ni mda muafaka wa kusema basi.
Red ya kwanza nimeipenda mbwa kala mbwa, FactThe music industry is a dog-eat-dog business.
It is profit driven and not a philanthropic enterprise.
And it's like that pretty much everywhere except maybe in North Korea and Afghanistan.
Anybody remember what Snoop Dogg went through with Deathrow?
Try talking to Beanie Sigel about Jay Z and Damon Dash about the whole Rocafella outfit and see what he has to say.
Hearing Jay Dee talk about Ruge like he is a villain who treats people terribly flies in the face of everything that is fair and just downright reeks of hypocrisy.
Word on the street is that she herself doesn't treat her underlings all that well. Remember that Sam Machozi kid?
People who live in glass houses shouldn't be throwing stones at others.
Huyo P Funk wakati anaongea hayo alikuwa ameshavuta Bangi ngapi? au alikuwa na msokoto mkononi?
Namshauri ajikite katika kumsaidia Mama yake kwenye mradi wa kufuga Prowns atatoka kimaisha, na yeye zama zake zimepita, aondoe kichefuchefu, au amesahau na yeye alivyokuwa ananyanyasa wasanii kwamba hawezi kurekodi na msanii ambaye siyo wa lebo yake? Watanzania kwa unafki tumepitiliza.
Hivi huyu Mvuta Bangi aliwahi hata kumtembelea Kajala jela?
Wacha kubwabwaja kwa jambo usilolijuwa, Kajala alikuwa ni Mke wa P Funk, then who is Babu Seya to me!!We babu seya umemtembelea lini?
We babu seya umemtembelea lini?
Wacha kubwabwaja kwa jambo usilolijuwa, Kajala alikuwa ni Mke wa P Funk, then who is Babu Seya to me!!