P-FUNK amuunga mkono Lady-Jay Dee mapambano dhidi ya wanyonyaji wa wasanii

P-FUNK amuunga mkono Lady-Jay Dee mapambano dhidi ya wanyonyaji wa wasanii

Hapo kuna maswali zaidi ya majibu!!!

namshanga uyu Matola anaonekana hajui vitu vingi kuhusu industry ya bongofleva anafanya kukadilia eti kajala alikuwa mke wa pfunk,kwanza kuna mtu alioenda jela mara nyingi kumuona k kama majani....
 
Kwanza futa mimate yako na mapovu, P Funk ni mmoja ya watu waliouwa vipaji vya vijana kwa kuwakatalia kurecord kwake, sasa kama yeye alikuwa na Terms zake na Master Jay akawa na terms zake na Mika Mwamba akawa na Terms zake, sasa inakuwaje Terms za Ruge kwenu inakuwa ni tatizo? that's a question.

P Funk hana udhu wa kujifanya ana uchungu na vita hivi dhidi ya ukandamizaji, ninachokiona Ruge ndio mjanja pekee hapa mjini aliyeweza kukamata game ya muziki wa kizazi kipya licha ya kwamba hajui kuimba wala kucheza, he is successful Promota.

Kulikuwa na kina Mike Mhagama hapa enzi za Redio one inaazishwa kulikuwa na kipindi cha Rap na kikafutwa nakumbumbuka nilikutana na Too Proud a.k.a Mr 2 a.ka. Sugu pale BP alipokuwa gate Man alilaani vikali sana kitendo cha Redio one, lakini nashangaa kelele zote siku hizi ni Ruge na Clouds mbona zilikuwepo hizo redio na wameabandon kupromote wasanii?



mkuu ukisema p kaua vipaji unamaanisha nini? juma necha,ferouz,daz baba,ngwea,misosi,soggy,ney,temba,jmo,solothang,mbdog,madee,chivalo,tid,mandojo domokaya,mabov na wengine wengi tu wametolewa na P na sio wote walikuwa bongorecords...na elewa P aliposimama kutoa kazi ndio malalamiko yakaanza kwamba muziki umekosa ubora na unapolomoka,sasa ameuuaje?...kwaio ata kama unamahaba na fisadi Ruge kiasi hicho usipotoshe jukwaa.
 
Matola whats wrong with you brother! unahoji heshima ya P Funk kwenye Bongo fleva!
 
Huyo P Funk wakati anaongea hayo alikuwa ameshavuta Bangi ngapi? au alikuwa na msokoto mkononi?

Namshauri ajikite katika kumsaidia Mama yake kwenye mradi wa kufuga Prowns atatoka kimaisha, na yeye zama zake zimepita, aondoe kichefuchefu, au amesahau na yeye alivyokuwa ananyanyasa wasanii kwamba hawezi kurekodi na msanii ambaye siyo wa lebo yake? Watanzania kwa unafki tumepitiliza.

Hivi huyu Mvuta Bangi aliwahi hata kumtembelea Kajala jela?

Aliwanyanyasa sana wagosi wa kaya walipoenda studio kurecord kwamba eti yeye harikodi kwaya....akawarudisha na hela zao. Nyani haoni *****le. Kati ya watu walionyanyasa wasanii huyu ni mmoja wao.
 
Aliwanyanyasa sana wagosi wa kaya walipoenda studio kurecord kwamba eti yeye harikodi kwaya....akawarudisha na hela zao. Nyani haoni *****le. Kati ya watu walionyanyasa wasanii huyu ni mmoja wao.


Post yako kuhusu Roger na Madame Ritha umeifuta wewe?
siioni,nilitaka kukuuliza uliitoa wapi habari hiyo?
 
Kwa nini hawa wasanii wakishapotea kwenye game la muziki ndio wanajifanya wanaharakati wa kupinga uonevu ila wakiwa peak huwa atusikii huu ujinga wao!?
Wanatakiwa wawe kama Mr Nice alivuma enzi hizo sasa hivi kapotea ila hajawahi kumnyooshea mtu kidole.
 
Huyo P Funk wakati anaongea hayo alikuwa ameshavuta Bangi ngapi? au alikuwa na msokoto mkononi?

Namshauri ajikite katika kumsaidia Mama yake kwenye mradi wa kufuga Prowns atatoka kimaisha, na yeye zama zake zimepita, aondoe kichefuchefu, au amesahau na yeye alivyokuwa ananyanyasa wasanii kwamba hawezi kurekodi na msanii ambaye siyo wa lebo yake? Watanzania kwa unafki tumepitiliza.

Hivi huyu Mvuta Bangi aliwahi hata kumtembelea Kajala jela?

imekuuma jinyonge basi
 
MATOLA NDIO JINA LINGINE LA RUGE AU ???
MAANA ALIVYO NAJAZBA UTAFIKIRI KATUMWA NA TEAM YA ''THE PEOPLE'S STATION''!!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Nilitaka nifike bei kwa Ritha lo
huwezi jua why niko curious lol
basi ni pm ukiweza

Siwezi kutaja vyanzo vyangu kwani next time sitaambiwa, wewe kajaribu tu bahati yako kama wewe ni handsome na unayejua kupangilia pamba
 
hivi mtenda dhamb akiacha kutenda dhamb na kuamua kuungana na wenzake ili kuwasaidia watenda dhamb wengne waache kutenda dhamb ni kosa
 
Aliwanyanyasa sana wagosi wa kaya walipoenda studio kurecord kwamba eti yeye harikodi kwaya....akawarudisha na hela zao. Nyani haoni *****le. Kati ya watu walionyanyasa wasanii huyu ni mmoja wao.


maneno yako ni uhongo sababu hawa wagosi hawaimbi wanarap,toka lini rap tena ya kikabila ikafanana na kwaya??na Majani amerekodi nyimbo nyingi tu na wagosi ikiwemo kibaka kaokoka na nyingine nimesahau majina..alafu zama mbona mkoloni na pfunk ni washikaji sana toka kitambo kiasi alikuwa anamtumia sana pale bongo rekodi kumuingizia sauti mfano mihayo,vicheko,kutapika,scratch za mdomo n.k nyuma ya nyimbo..msipende kupotosha wale wasiofahamu aya mambo ili kufanikisha utetezi wenu kwa ruge.
 
maneno yako ni uhongo sababu hawa wagosi hawaimbi wanarap,toka lini rap tena ya kikabila ikafanana na kwaya??na Majani amerekodi nyimbo nyingi tu na wagosi ikiwemo kibaka kaokoka na nyingine nimesahau majina..alafu zama mbona mkoloni na pfunk ni washikaji sana toka kitambo kiasi alikuwa anamtumia sana pale bongo rekodi kumuingizia sauti mfano mihayo,vicheko,kutapika,scratch za mdomo n.k nyuma ya nyimbo..msipende kupotosha wale wasiofahamu aya mambo ili kufanikisha utetezi wenu kwa ruge.

We mimi Tanga kwetu, mwanzoni aliwasumbua sana kwenye wimbo wa Tanga kunani......mimi born nguvumali ati so huniambii kitu. Hiyo kauli aliisema kama ishara ya kuwadharau tu.....kila wakienda akawa anawapiga tarehe so kama kuna wimbo alirecord basi ni after usumbufu wa long. Naongea facts tu.
 
hawa clouds wawe makini sana,naona wamelewa sana mpaka wanajisahau,dharau walioonyeshwa juzi wasanii wa bongofleva,wasanii wangekuwa na akili wangejifunza kitu na kuchukua hatua kama wanajia...huu upepo hautapita ivi ivi chukueni maneno yangu.
nimewadharau sana wasanii wa bongo flavour ruge kawadharau sana,
 
We mimi Tanga kwetu, mwanzoni aliwasumbua sana kwenye wimbo wa Tanga kunani......mimi born nguvumali ati so huniambii kitu. Hiyo kauli aliisema kama ishara ya kuwadharau tu.....kila wakienda akawa anawapiga tarehe so kama kuna wimbo alirecord basi ni after usumbufu wa long. Naongea facts tu.

sasa kama unajua ukweli mbona unaendelea kupotosha,wagosi walienda kurekodi 'tanga kunani' kwa Master jay studios sababu walikuwa na connection na prof ludigo aliyekuwa kwa mj kipindi hicho,na aliyewaunganisha kwa ludigo ni prof jay ambaye kipindi hicho alikuwa best sana wa mkoloni prof akiwa tanga anafanya kazi.ndi jay akawasain mj records.hakuwai kuwakataa majani.
 
Watu hawajui aisee! eti P Funk kaishiwa! yeyote anayehoji heshima ya Majani kwenye Bongo fleva hajui Music!
 
Back
Top Bottom