Hv walilipwa zote. Tigo si walikata rufaa?Inawezekana kesi ya pili producer aliwauzia biti kina mwana FA na AY.
Biti ya nikusaidiaje P. Funk hakumuuzia Profesa Jay.
Ile biti P. Funk aliitengeneza mwenyewe. Siku Profesa Jay kafika studio akamsikilizisha biti na Prof. akaiandikia mistari ya nikusaidiaje then akarekodi.
Na hata Chamilione alivyoirudia biti kwenye Bomboclat, bado ilikuwa mali ya P. Funk.
Kesi ya Tigo AY, Mwana FA na Msando iliendeshwa kwa ujanja mwingi wa Mwana FA, AY na Msando.
Baada ya Mwana FA na AY kugundua Tigo wanatumia nyimbo zao wakaona hapa ni pa kupiga pesa. Wakamtafuta Msando mapema wakamueleza. Msando akawapa ushauri wa kisheria, vitu vya kufanya kabla hawajaanzisha kesi so hapo COSOTA walienda mapema.
Producer si ajabu alizimiwa hapo. Akalipwa hela za zile biti na kina Mwana FA ziwe mali ya Mwana FA na AY bila kujua watu wanakuja kuzifungulia kesi kubwa ya kupiga hela.
Mwana FA ni msomi na ile pesa ya Tigo kaipiga kisomi sana sababu uhalisia wasanii kibao Tigo ilikuwa inatumia call tunes zao kimakosa. Ila wengi masikini wa kutupwa. Mwana FA na AY tu ndio waliopiga bilioni hizo.
Kumbe waliishalipwa?Inawezekana kesi ya pili producer aliwauzia biti kina mwana FA na AY.
Biti ya nikusaidiaje P. Funk hakumuuzia Profesa Jay.
Ile biti P. Funk aliitengeneza mwenyewe. Siku Profesa Jay kafika studio akamsikilizisha biti na Prof. akaiandikia mistari ya nikusaidiaje then akarekodi.
Na hata Chamilione alivyoirudia biti kwenye Bomboclat, bado ilikuwa mali ya P. Funk.
Kesi ya Tigo AY, Mwana FA na Msando iliendeshwa kwa ujanja mwingi wa Mwana FA, AY na Msando.
Baada ya Mwana FA na AY kugundua Tigo wanatumia nyimbo zao wakaona hapa ni pa kupiga pesa. Wakamtafuta Msando mapema wakamueleza. Msando akawapa ushauri wa kisheria, vitu vya kufanya kabla hawajaanzisha kesi so hapo COSOTA walienda mapema.
Producer si ajabu alizimiwa hapo. Akalipwa hela za zile biti na kina Mwana FA ziwe mali ya Mwana FA na AY bila kujua watu wanakuja kuzifungulia kesi kubwa ya kupiga hela.
Mwana FA ni msomi na ile pesa ya Tigo kaipiga kisomi sana sababu uhalisia wasanii kibao Tigo ilikuwa inatumia call tunes zao kimakosa. Ila wengi masikini wa kutupwa. Mwana FA na AY tu ndio waliopiga bilioni hizo.
FRESHMAN, Hermy B mbona ni msomi mzuri tu. Tena wa SUA kama sikosei.
Hv walilipwa zote. Tigo si walikata rufaa?
Kumbe waliishalipwa?
Inawezekana kesi ya pili producer aliwauzia biti kina mwana FA na AY.
Biti ya nikusaidiaje P. Funk hakumuuzia Profesa Jay.
Ile biti P. Funk aliitengeneza mwenyewe. Siku Profesa Jay kafika studio akamsikilizisha biti na Prof. akaiandikia mistari ya nikusaidiaje then akarekodi.
Na hata Chamilione alivyoirudia biti kwenye Bomboclat, bado ilikuwa mali ya P. Funk.
Kesi ya Tigo AY, Mwana FA na Msando iliendeshwa kwa ujanja mwingi wa Mwana FA, AY na Msando.
Baada ya Mwana FA na AY kugundua Tigo wanatumia nyimbo zao wakaona hapa ni pa kupiga pesa. Wakamtafuta Msando mapema wakamueleza. Msando akawapa ushauri wa kisheria, vitu vya kufanya kabla hawajaanzisha kesi so hapo COSOTA walienda mapema.
Producer si ajabu alizimiwa hapo. Akalipwa hela za zile biti na kina Mwana FA ziwe mali ya Mwana FA na AY bila kujua watu wanakuja kuzifungulia kesi kubwa ya kupiga hela.
Mwana FA ni msomi na ile pesa ya Tigo kaipiga kisomi sana sababu uhalisia wasanii kibao Tigo ilikuwa inatumia call tunes zao kimakosa. Ila wengi masikini wa kutupwa. Mwana FA na AY tu ndio waliopiga bilioni hizo.
Hela haijifichi.. maisha ay akaoa mnyarwanda, akanunua nyumba marekani na vacation kibao..na mwana fa akaanza trip za kwenda majuu kuangalia mechi tu za manchester utd..
Unafikiri hayo maisha wangeyapata kwa mziki gani.. miaka hii ya WCB
Hela walilipwa mkuu, hilo la nyumba pia ni kweli. Baada ya kulipwa tu, jamaa ndo wakaoa na AY ndo akanunua nyumba MarekaniSina hakika sana kama walilipwa mpunga mrefu kama ule...
FA na AY ni mabalozi wa Turkish Airlines, ndiyo maana hua unawaona wanapanda ndege hizo hizo tu wakiwa wanaenda mbele,huwezi wakuta wanapanda ndege nyingine tena First Class,.. Kuhusu AY kununua nyumba marekani hiyo ni story tu mkuu wangu. Sio rahisi kama tunavyodhani
Walikata rufaa na kesi inaendelea hakuna alielipwa.Hv walilipwa zote. Tigo si walikata rufaa?
Kwa pesa ile bilioni 1 waliyogawana ndio afanye yote hayo?Hela haijifichi.. maisha ay akaoa mnyarwanda, akanunua nyumba marekani na vacation kibao..na mwana fa akaanza trip za kwenda majuu kuangalia mechi tu za manchester utd..
Unafikiri hayo maisha wangeyapata kwa mziki gani.. miaka hii ya WCB
Kwa pesa ile bilioni 1 waliyogawana ndio afanye yote hayo?