Mkuu sidhani kama battle la namna hii kunakuwa na faida.......p funk atabaki kuwa p funk hila mtu ana mtazamo wake maana mawazo yangu na yako yapo tofauti sana.....changia mawazo yako watu watakubali kutokana na ulichochangia na dada nae hivyo hivyo watu watakubali kutokana na alichochangia.....battle za matusi hazina faida tofauti na battle za hoja
Mkuu sidhani kama battle la namna hii kunakuwa na faida.......p funk atabaki kuwa p funk hila mtu ana mtazamo wake maana mawazo yangu na yako yapo tofauti sana.....changia mawazo yako watu watakubali kutokana na ulichochangia na dada nae hivyo hivyo watu watakubali kutokana na alichochangia.....battle za matusi hazina faida tofauti na battle za hoja
una point...ila hujakua bado.
Sawa mkuuu kama nimekua au sijakuwa cha msingi kuwepo kwa amani hapa Jf wengi wanatumia majina ambayo sio yao sasa unakuta mtu ambae unatukanana ni jirani yako halafu mnaishi kwa amani kabisa......cha msingi kuwepo kwa amani tu
data
mkuuu unajua unaofanya ni utoto tena usela wengine tumefanya shule ya msingi wakati nipo undergraduate pale Coet nilikuwa gudboy acha dharau mimi najua tena zaidi yako kama utaka nivae shati la usela la shule ya msingi unaweza kujidharau mwenyewe kuwa mstaraabu aiseeeeeeeeee
Professional Sound Engineer from SAE Amsterdam Holland, nani asiyejua mchango Halfani tangia bado anasoma pale IST,Producer gani amewahi kuzunguka mikoani kusaka vipaji vya wasanii km si ile Bongo records tour iliowaibua akina Man dojo na Domo kaya, nani amewafanya tmk family wajulikane ? Je ni nani lebo yake imewai kuvunja rekodi ya ugali ya juma nature. Na pia Paul amefanya clouds kuhama kutoka kitega uchumi mpaka kujenga gorofa pale darajani.
Ni machache sana pia nakumbuka jamaa amewai kutoa gari lake liwabebe Y2K Walipokuja kufanya show bongo, Mdachi anastahili heshima sana , pia Jo Kimario MJ, MIKA MWAMBA, BONNY LUV,PROF LUDIGO,JOHN MAHUNDI,DUNGA NA wengine kitambo kile ambao tukiwa bado wadogo tuliona michango yao na pia REDIO 1,EATV,PIA CLOUDS FM ingawa baadae mawingu walianza unyonyaji. Kwa leo Am Out.
We jamaa we wala usiende mbali,tunaomba ukae hapa uendelee kutuelimisha juu ya historia ya bongo flava yetu..
Maana nimegundua watu wengi hapa hawafaham istoria halisi ya muzik wetu wa kizazi kipya.
Yaan hawajui nani ni nani!
Big up bro kwa kutukumbusha vyema na naomba utukumbushe zaidi.
Kwa jinsi ulivyoanzisha mada,mim nilidhani unaijua historia vizur ya bongo fleva,kwasasa napata wasiwasi kuhusu ww. Ndio maana ulikomaa kuhusu pfunk bila vina. Sasa umejua kuhusu mchango wake na wa hao wengne,still anastahili hyo heshima?! Hlo ndio swali unapaswaujiulize,na kuhusu hao wengne nao tuwape huo u- dr?!
Kwani alikuwa peke yake hata Master Jay kawatoa wengi tu na wasanii wengi singo zao za mwanzo walianziaga Mj records ingawa mj na bongo records zilianzishwa sambamba na Prof jay alianziaga kwa Mj.
Na ukisema mchango zamani nyimbo nyingi zilikuwa zinarekodiwa studio tofauti na hizo za Mj na Bongorecords hao jamaa design wamefanya kama kuendeleza tu kulikuwa na Stuudio kama Mawingu. Kulikuwa na akina Mika mwamba pia walio watoa wasanii wengi.
Majani ana heshima yake ndio but sio kiivyo mkitaka muwatunuku wote hata akina Mika na MJ maana miaka ya 2000-2009 hivi ndo bongo records ilivuma sana ila muziki haukuanzia hapo.
utapewa degree bana wakati hata diploma hauna???
aanzie chini kwanza.. apewe cerificate kwanza,... akae street miaka mitatu.. then apewe diploma!!!
baada ya hapo sasa, tumfikirie kumganjia degree!!!!
Kama sikosei mkuu Excel Producer Majani ana advance diploma Of Sound Engineering aliosomea huko Amsterdam Holland katika Chuo cha SAE na pia km sijakosea Elimu ya hizo certificate of both o and a level secondary kasoma pale IST . Hope i make it clear. Just for peace