Mnyabwilo
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 720
- 255
data
Mkuu sidhani kama battle la namna hii kunakuwa na faida.......p funk atabaki kuwa p funk hila mtu ana mtazamo wake maana mawazo yangu na yako yapo tofauti sana.....changia mawazo yako watu watakubali kutokana na ulichochangia na dada nae hivyo hivyo watu watakubali kutokana na alichochangia.....battle za matusi hazina faida tofauti na battle za hoja
Mkuu sidhani kama battle la namna hii kunakuwa na faida.......p funk atabaki kuwa p funk hila mtu ana mtazamo wake maana mawazo yangu na yako yapo tofauti sana.....changia mawazo yako watu watakubali kutokana na ulichochangia na dada nae hivyo hivyo watu watakubali kutokana na alichochangia.....battle za matusi hazina faida tofauti na battle za hoja
Last edited by a moderator: