nje ya uzuri hana future yoyote.....usinitajie fashion designer kama utataja hiyo nioneshe hata vazi moja alilowaho designing......angerudi shule naimani mama ake na baba ake wasingeshindwa kumtafutia connection ya kazi kwa viongozPaula ni binti atakayekuja kuwa na maisha mazuri Sana , probably ndo atakuwa nguzo kuu ya P-Funk majani, mwanao ni mwanao tuu, kama Baba lazima usimamie ubaba wako to the end...majani bado ana akili za kitoto...
Mrs Vanboy bana 🤣Wewe ndio unachekesha. Kama una watoto huwezi kuchekelea yanayotokea kwa mtoto wa mtu mwingine sababu wako hujui atakuaje. Kila mzazi mwenye akili timamu anamuombea mwanae mema.
Wewe ni mzazi mwenzake hadi unasema kuwa alikuwa hawajibiki ktk malezi?!.Wakati wa kumlea mtoto alikuwa busy na mji akasahau mpaka ada zinalipwa na nani, majani alikuwa majani. Leo anajifanya yupo strict kwenye malezi.
Ninachompendea Tessy ni kimoja tu. Hajawahi kumsema vibaya Aslay wala hajawahi kuweka hadharani ugomvi wake na baba mtoto.Sizani kama Aslay nae ni baba mzuri manake naye kazaa hovyo hovyo kila mtoto na mama yake (kama sikosei ana wanne) na huyo Tessy nae ni type zilezile za Kajala kazi yake ni kudanga,hapo ni kuomba Mungu tu aingilie kati.
True"Usitukane mamba kabla hujavuka mto". Majani kapuyanga halafu bado ana watoto wengine wadogo ambao hajui mbeleni kutakuaje. Mambo ya malezi hayana ujuaji. Wapo waliozaliwa familia za kidini na wamewehuka. Atakuja kukumbuka shuka kumeshakucha
Una hakika na hili mkuu? Mbona alisema alikuwa anatoa matunzo kama kawaida na kuna picha kadhaa yeye majani na kajala wakiwa wako na kajala shuleni nahisi alikuwa kidato cha kwanzaWakati wa kumlea mtoto alikuwa busy na mji akasahau mpaka ada zinalipwa na nani, majani alikuwa majani. Leo anajifanya yupo strict kwenye malezi.
haaahaaa just haaahaaIla majani yuko sexy jamani,sijui ni mimi tu?yaaani vile anaongea na ule ununda anasound sooooooo sexy
Sipendagi wanaume weupe ila majani ni [emoji91][emoji91]
Hata bure nampa dadeq!
Na sio kama angefanikiwa kuwala mbona chats nliona kama anabembeleza waendeleze mama asiwe kigezo? Kwani alikuwa anatongoza upyaMajani anasema mtoto wake alimkataa, ila hasemi ilikuwaje wakafika hali hiyo.
Majani anasema kwenye radio kuwa mtoto wake kazaliwa na mama asiyestahili.
Majani anaitangazia dunia kwamba binti yake amelaanika.
Kwa mtu mwenye hekma na utulivu wa akili utagundua Baba pia ana tatizo kubwa kuliko mama anaetupiwa lawama zote.
Majani alishindwa kusimama kama baba wakati wa makuzi ya Paula leo unakuja kuutangazia uma kwamba damu yako imeshindikana.
Majani umeteleza ni heri ungeendelea kukaa kimya tunge assume una busara.
Ona sasa unalaumu binti yako na mama yake wanapeleka vitu mitandaoni, na wewe unafanya kile kile unatumia media kutoa hukumu kwa damu yako.
Siku Paula akirudi kwenye media kutolea ufafanuzi kauli zako utasema amekukosea heshima wakati umeendelea kumchafua??
Majani unaumizwa na mtoto wako kuvujisha videos, lakini uhoni tatizo la baba yake wa kufikia kumtongoza na kumtumia dudu analoliona mama yake. Majani uhoni kama ingekuwa fedhea sana kwako kama bwana angefanikiwa kuwala baby mama wako na binti yako?
Majani tumia busara kama baba, linapofika swala la binti yako wewe sio majani wewe ni baba. Kamwe baba uwa hasimami kuishambulia damu yake ni heri ungeendelea kukaa kimya.
Chats ziko km vile anaomba waendelee sio km anaomba waanzeAtembee naye mara ngapi sasa na wakati inasemekanika paula ndo wakwanza kuliwa
Si umtafute tu umpeIla majani yuko sexy jamani,sijui ni mimi tu?yaaani vile anaongea na ule ununda anasound sooooooo sexy
Sipendagi wanaume weupe ila majani ni [emoji91][emoji91]
Hata bure nampa dadeq!
Ila majani yuko sexy jamani,sijui ni mimi tu?yaaani vile anaongea na ule ununda anasound sooooooo sexy
Sipendagi wanaume weupe ila majani ni [emoji91][emoji91]
Hata bure nampa dadeq!
Tatizo la majani ni kuongea upuuzi kwenye media. Ila tatizo la Paula ni mama yake kasababisha. Kajala hajitambui hata kidogo..sijui nini kimemfanya akaibukia uzeeni.Sema huyu kajala dish linacheza aisee,uyu ndio chanzo mtoto kuharibika lawama asitupiwe majani. kuna single mother wengi tu wanalea watoto wao ktk maadili mazuri
Tessy ana busara gani?I wish mastaa wote wangekuwa na busara kama za Tessy wa Aslay
Kwani konde baba Paula ye ansemaje?Vipi huko usafini mshaenda kuwawekea dhamana mama na mwanae central?
Wameshikiliwa kwa kosa gani?Kwani dhamana shingapi nikakope ya kumtoa paula mungu atanilipa.