P Funk: Nilikuwa namkebehi tu Harmorapa, hata kwa milioni 10 siwezi kumrekodia

Aisee, Muheshimu Sana mtu ana hustle Sana but siku moja atafanikiwa tuu.

Wana JF mnakumbuka diamond alvokuaga anataniwa kuhusu mdomo wakee!!?? Lakin Leo Hakuna mtu anaezungumzia tena hiloo, Sawa Sawa na harmo rappa akitia juhudi zaidi akafanikiwa nani atamcheka tena..

Ninachoamin kwa hapa Bongo ukiamua kufanya kitu baas watu watakukatisha tamaa ili ushindwe na sijui kwa Nini, na ndivyo inavotokea kwa harmorapa.

Enzi hizo harmonize mwenyewe alkua hana swaga alshiriki bongo star search huko kwao na aliimba vibaya kabisaa, na Boss wake Diamond ashaipostigi akiwaambia watu wasikate tamaa majaji wa shindano hilo walimdiss Lakin leoo wanamheshimuu.

Tuamin kuwa juhudi zetu na ujasiri utatufikisha tunapotaka.. Na hata siku moja usimdharau alieko chini kwa muda huu hujui kesho atakua wapii...

Harmorappa kazaa utatusua tuu waje kukuomba "selfie"
 
Hamorapa ni mtu wa hovyo hovyo.. Tena wa hovyo sana kuwahi kutokea kwenye tasnia ya mziki nchini...

Nchi yenyewe, watu wake na Viongozi wake si wa hovyo hovyo tu Kama huyo hovyo hovyo?[emoji12][emoji12]

Mkuu wa Nchi Mwny Phd ya darasani ni fun wa kipindi cha Shilawadu na haoni aibu kusema Hilo hadharani halaf unamshangaa Hamorapa[emoji12][emoji12]
 
jamaa unaeza ona kama anaringa sna lkn ana chokiongea ni fact wakat mwingne.
 
Huyu jamaa naye ni mpuuzi sana nafikiri ule uzeruzeru wake wa kizungu ndio unamsumbua tukumbuke watu wenye rangi ni wabaguzi sana japo yeye mwenyewe akifika huko kwa wazungu original anaonekana mbwa koko tu.
Wapi kaonyesha racial abuse

Tatizo la inferioty uliyokuwa nayo mkuu

Mtu akisema lake la moyoni mbaguzi kisa rangi asizungumze na kama angekuwa mbaguzi akina nature,jay ,fid na wengi wamefanya naye kazi kwa mafanikio haswa rappers ..juzi hapa huyo harmorapa wako aliitwa nyani na mmakonde mwenzake lakini harmonize hajaitwa racial abuser ila majani kumkosoa ki professional tena ushauri anaitwa mbaguzi


Haha kuna watu mnafurahisha sana
 
Ila huyu dogo Harmo nini sijui na yeye bonge la mpumbavu, miropoko kama baba mlezi wa Bashite. Kuna viumbe ukifanana nao sura lazima ufanane nao akili kidogo.
 
sipo kwy hiyo tasnia wala simjui hata huyo msanii zaidi ya kusikia tu jina lake likitajwa tajwa maana nami ni mpenzi msikilizaji na mtazamaji wa muziki hasa ya vijana wa nyumbani...neno moja tu kwenu ni kwamba Usimdharau na kumkejeli mtu maishani maana hujui Mungu amempangia au ana mpango gani nae katika maisha ...na uliye juu leo unaweza ukashuka na yeye akapandishwa juu!
tuchunge ndimi zetu!
 
ph.D halijui hili
 
Aliyemuitwa Harmorapa nyani ni Mose Iyobo, na sio Harmonize kama unavyosema
 
Tutajuaje kam uliloongea sasa ndo lakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…