Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Jamaa futi nane😆😆Rwanda Vs GuineaView attachment 2769998
Picha inajieleza!! Ivi huyu jamaa kabila gani ! Ni Giant kama Mfalme wa babylonia
Kura zianze Nani zaidi?
Jamaa futi nane[emoji38][emoji38]
Kwa kuangalia kiubinadamu Kagame anatumia akili while huyo wa Mamady anatumia mabavu
Kiroho hakuna hata mmoja alo might than God the Father
Aisee Mamady ametishaAfrica tunaonaga watusi na watu wa sudani ndo warefu kumbe kuna mijitu bana
Nyie ndio wale wazee wa kubet?Kwa kuangalia kiubinadamu Kagame anatumia akili while huyo wa Mamady anatumia mabavu
Kiroho hakuna hata mmoja alo might than God the Father
Nyie ndio wale wazee wa kubet?
[emoji23][emoji23]Anapepesuka na upepo.Kagame anaonekana kama SUNGURA mwenye kifaduro [emoji3166]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji23][emoji23]Anapepesuka na upepo.
Aweke mifukoni ili apate balance [emoji23][emoji23][emoji23]