P. Kagame VS Mamady Doumbouya! Who is might

P. Kagame VS Mamady Doumbouya! Who is might

Hiyo picha haifai kabisa kufanya ulinganishaji!
... mpiga picha kapiga kutokea upande wa mnaemuita 'GIANT', na, mbaya zaidi, camera yake ilikuwa chini!

IMG_9769.jpg

Vipi kuhusu hii! mpiga picha alikaa upande gan
 
Congo hakuna serikali.. ndio maana unachezewa na madini yao yanachotwa

Amchezee mama na ushungi wake aone balaa lake

Nimecheka ,,, nchi uliyoshindwa kusupply umeme mfululizo mwezi mzima bila kukatika itaweza kusupply jeshi kupigana miaka 20 kama DRC!!…
Au hujui kwene vita kuna “supply chain”
supply ya weapons
supply ya chakula
supply ya medicin na vingine muhimu

kama supply chain si ya uhakika bas hata jeshi lililoko front litachemka!… Ndo kiliikuta urusi mwanzon mwa vita
 
Back
Top Bottom