Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
- Thread starter
- #261
Hapana mi sio Dizasta Vina, nishabiki tuWe jamaa nahisigi ni dizasta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mi sio Dizasta Vina, nishabiki tuWe jamaa nahisigi ni dizasta
Noma sanaPapaa frege na cado
View attachment 2000451
Unajaribu kufananisha muziki wa hip hop na mashairi ya shabani robertNimejaribu kuusoma uzi mpaka hapa nilipofikia. Mimi ni mdau mkubwa sana wa Mashairi ila si mdau wa muziki wa aina yoyote ile.
Nasimama katika fani adhimu,fani ya ushairi kama ambavyo baadhi ya wasanii wanavyojinasibisha.
Jamaa kaunganisha dot kaona ww ni atheist kama Dizasta akaconclude tayari.Hapana mi sio Dizasta Vina, nishabiki tu
Swali langu nimeuliza kwanini huwa yanaitwa Mashairi sababu najua fika Wimbo si Shairi.Unajaribu kufananisha muziki wa hip hop na mashairi ya shabani robert
Nao wanajitahidi ila sio kama akina cado.Kuna hawa jamaa hidary scoda (anajiita ngwair wa II) na selementary.
Hapana we mkaliHapana mi sio Dizasta Vina, nishabiki tu
So watoto wa kiwaside, gude, kipawa, sitaki Shari, machimbo, buza ,tandika ,temeke wengi ni wanangu.
Mwamba Ngoma huvutia kwake ..kisa we mchuga ndo unawabrand sioWEUSI ndio kundi bora la hiphop Tanzania. Hawa wengine ni takataka tu zimejikusanya na kujiita kundi la hip hop
Sasa mkuu Kuna kundi Bora Kama la WEUSI? hao KIKOSI KAZI Wana project gani zinazoeleweka? Wanapiga show ngapi za kuwaingizia pesaMwamba Ngoma huvutia kwake ..kisa we mchuga ndo unawabrand sio
Mbona wanaproject zinazoeleweka Mzee....Wana Ngoma zao Kali Tu kutoka ktk album Yao.....kwenye issue ya show z kuingiza hela. Kuingiza hela kupitia shows Kwa dababy au NBA young boy hakuwafanyi wao ndo wawe Bora kuliko Kendrick Lamar au j coleSasa mkuu Kuna kundi Bora Kama la WEUSI? hao KIKOSI KAZI Wana project gani zinazoeleweka? Wanapiga show ngapi za kuwaingizia pesa
Ntasahu vyote milele nitamkumbuka aliyeniumba, na daily ntakaa mkao wa pushup tu ka umbwa.../Hebu tumsikilize hapa kdgView attachment 2003647
Hawa madogo wa siku hizi, namkubali zaidi Stanny Rhymes. Uwezo wa kufreestyle huwa unanikumbusha enzi hizo Nikki Mbishi akiwa kwenye peak.Mimi nishasema katika carrier ya freestyle hakuna cha ngwair wala godzilla ambao uwezo wao wa freestyle unaweza kuwalinganisha na hiki kizazi cha kina toxic, frege na kado
Hawa madogo lazima tuwape heshima yao nao waone tusisubiri wafe ndio tuwasifie, battle wanazopiga sio za kitoto wanakutana na upinzani mkali tofauti na kizazi cha kina ngwair na freestyle zao zenye weak flow kama chid benz
Huyo mshenzi aliwahi kuchana XXL karibia lisaa lizima. Ilikua ni session ya jiwe la wiki, ngoma yake ya geto boy ndio ilisimama.Hii kitu ili niboa mpaka nkaacha kuwafatilia. Climax bibo pia aliwahi kupita na zote.
Taranta boy.. hakuna yoo yoo mingiHuyo mshenzi aliwahi kuchana XXL karibia lisaa lizima. Ilikua ni session ya jiwe la wiki, ngoma yake ya geto boy ndio ilisimama.
Jamaa anamiliki benki ya mistari