Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chokolate mc hahahaaaa .... Jina gumugumu ndio matamu kama Wandava cleck, Manzese crew, Big Dog Pose, Manduli mobb, Ganstars With Matatizo, LWP, HardBlasters .... Majina magumumagumu Computer Pose kwanza unajiuliza hilo pose lipojeKwahiyo unataka mtu aimbe hip hop alafu ajiite james_delicious MC?
Imebidi niipakue niisikilize. P yuko vizuri sana, na sidhani kama kuna maana tofauti na alichokiongea.Nahamia weusi
Bom Bronx……Maweeenge….wuuuh!
Majina magumu ku represent mziki mgumu yanakua na flavour ebu cheki kama Snoop doggy lilivyo fit, huwezi fananisha na lil baby au dababyChokolate mc hahahaaaa .... Jina gumugumu ndio matamu kama Wandava cleck, Manzese crew, Big Dog Pose, Manduli mobb, Ganstars With Matatizo, LWP, HardBlasters .... Majina magumumagumu Computer Pose kwanza unajiuliza hilo pose lipoje
Sikilizeni vizuri ... Hata hao weusi kawapiga umo Buu nako yupo weusi !!? IBRA de hustler !! Nako to nako wako wapi !?? Mabeef ya kalolenni kundi lao LA awali job makini lipo !!?? Anataka kupanda ndege na weusi lakini kuna wengi wapo njee ya hiyo ndege ..sikilizeni acheni mhemuko wa haraka sikia wote aliowataja na kawazungumzia nini.Hizi mbona ni shobo za waziwazi mchana kweupee.
That’s why namkubali nikki mbishi hajawahi kuwa fake, kama shida ni anataka mahusiano mazuri na DC nikki wapili angefanya kama NASH MC aende kwa DC wapige stories basi ila sio kutoa track kabisa.
Nikki mbishi ndio definition ya real MC ameendelea kuwepo kwenye misimamo yake since day one
Niki mbishi ni msanii mzuri ila ni mtu wa shari sana nilifurahi sana siku ambayo stereo alipost picha akiwa na nikki wapili, nikki mbishi alitoa comment positively tofauti na ambavyo amekua akim-treat nikki wa piliHizi mbona ni shobo za waziwazi mchana kweupee.
That’s why namkubali nikki mbishi hajawahi kuwa fake, kama shida ni anataka mahusiano mazuri na DC nikki wapili angefanya kama NASH MC aende kwa DC wapige stories basi ila sio kutoa track kabisa.
Nikki mbishi ndio definition ya real MC ameendelea kuwepo kwenye misimamo yake since day one
Mawenge mshambaSikilizeni vizuri ... Hata hao weusi kawapiga umo Buu nako yupo weusi !!? IBRA de hustler !! Nako to nako wako wapi !?? Mabeef ya kalolenni kundi lao LA awali job makini lipo !!?? Anataka kupanda ndege na weusi lakini kuna wengi wapo njee ya hiyo ndege ..sikilizeni acheni mhemuko wa haraka sikia wote aliowataja na kawazungumzia nini.
Unajuaje kwamba hata ile diss haikuja kama njia ya ku catch attention kama ambavyo nafikiria atakua amefanya kwenye ngoma hii?Mawenge mshamba
nimeelewa kwanini nikki mbishi hakujibu dis ya huyu dogo..
Nahamia weusi
Bom Bronx……Maweeenge….wuuuh!
[Verse One:]
Nishachoka kuimba ngoma za haraka na ukombozi/
Wanetu wanakamata tu nafasi za uongozi/
Kila miziki kwetu ni visasi na uchokozi/
Haya maamuzi yaheshimiwe wala staki gozigozi/
Arusha city ndo hood ya Xplastaz, Watengwa/
Kipindi Nelly anaukandia ushanta, nlipenda/
So acha nieleweke before I be dead gone/
Kwanza Mbeya, Dar, na Chuga iwe third home/
Nafurahi nikimwona Joh Makini yuko na G/
Wamepiga picha wakiwa ofini kwa DC/
Na hii ndo hiphop love, mimi ni mc/
Wanaowaza shobo huwa napiga chini siwaskii/
Machizi wanajihepusha na maugomvi na fujo/
Ni kikundi cha rap wala sio cha ndondi na judo/
Wako smart kwenye brain, smart kwenye kazi/
Wako kasi kwenye game hawataki ubabaishaji/
I was a good fan wa nako2nako na river camp/
Kabla P Mawenge halijaja bado katika game/
Na mambo yakanoga tangu Joh aje na Nikki/
Nawaona kwenye chupa la niaje ni vipi/
[Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/
[Verse Two:]
Unaikumbuka nako2nako ya bang na ndo zetu kuwakilisha/
Pindi wao na kikosi yechu yechu hamna vita/
Kabla ya Beef kabla ya kaka zetu kuchapika/
“Show love to each other”, mpaka Yesu akatajika/
Mambo yalikuwa fresh pindi Lord yuko na Ray/
“Hii kwa ajili yako baby”, nice back in a days/Huku Bu huku Ibra kabla hawaja-part ways/
“Hawatuwezi” was fav track to play/
Bila kipingamizi mi weusi naikubali/
Mmefanya mengi mmebisha sana kwenye safari/
Nidham na Juhudi ndo zimewafikisha mbali/
Napenda nijoin kundi so nkikaribishwa shwari/
Kushindana kwenye game isitujengee chuki/
Mwishoni tulogane rodi tutembee uchi/
Waambie wagombanishi wasituletee uzushi/
Tupigeni ngoma kali chorus atembee jux/
We never been friends I know that for sure/
Its over now I gotta bottle bring glasses to pour/
Allow me to get in ya plane let’s start the tours/
“Vipi Kuhusu kikosi Kazi?” hilo staki kujua/
Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala
hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/
Dogo mtamu sana shida anapuliza na kung'ata. Angekuwa anapiga project zake kama Dizasta Vina angekuwa vizuri sana ..kwa kizazi hichi Dizasta yupo vizuri kuliko wengi sana.Mawenge mshamba
nimeelewa kwanini nikki mbishi hakujibu dis ya huyu dogo..
Hilo nalo limo ....Unajuaje kwamba hata ile diss haikuja kama njia ya ku catch attention kama ambavyo nafikiria atakua amefanya kwenye ngoma hii?
Au we una amini ile diss ya mawenge ilikua coincidence na sio kwamba ni ku catch attention za mashabiki?
Hahahaha kama nimekuelewa una maanisha anavyo switch kwa kuimba commercial?Dogo mtamu sana shida anapuliza na kung'ata. Angekuwa anapiga project zake kama Dizasta Vina angekuwa vizuri sana ..kwa kizazi hichi Dizasta yupo vizuri kuliko wengi sana.
Chambichambi muhimu.. Hizi tunasikiliza wagumu... Mtu kama MexCortez eti humsikiii mainstream uje usikie mziki huu bongo nyoso ...jipendeze uvute dough rudi piga kazi.Hahahaha kama nimekuelewa una maanisha anavyo switch kwa kuimba commercial?
Umeniwahi ndio nilikuwa nachapa....hahahaaaaHakuna code zozote hapo, na ngoma haina maana nyingine yoyote zaidi ya hicho kinachosikika. P ana tatizo moja kuwa anapenda sana kutuuzia hype! Ni kama vile jamaa haamini kuwa hapo alipo ndipo anapostahili kuwa, anaitamani sana mainstream. Kwa hiyo anaamini kupitia hii ngoma atazungumzwa na kupata interviews...
unyama sana humuNahamia weusi
Bom Bronx……Maweeenge….wuuuh!
[Verse One:]
Nishachoka kuimba ngoma za haraka na ukombozi/
Wanetu wanakamata tu nafasi za uongozi/
Kila miziki kwetu ni visasi na uchokozi/
Haya maamuzi yaheshimiwe wala staki gozigozi/
Arusha city ndo hood ya Xplastaz, Watengwa/
Kipindi Nelly anaukandia ushanta, nlipenda/
So acha nieleweke before I be dead gone/
Kwanza Mbeya, Dar, na Chuga iwe third home/
Nafurahi nikimwona Joh Makini yuko na G/
Wamepiga picha wakiwa ofini kwa DC/
Na hii ndo hiphop love, mimi ni mc/
Wanaowaza shobo huwa napiga chini siwaskii/
Machizi wanajihepusha na maugomvi na fujo/
Ni kikundi cha rap wala sio cha ndondi na judo/
Wako smart kwenye brain, smart kwenye kazi/
Wako kasi kwenye game hawataki ubabaishaji/
I was a good fan wa nako2nako na river camp/
Kabla P Mawenge halijaja bado katika game/
Na mambo yakanoga tangu Joh aje na Nikki/
Nawaona kwenye chupa la niaje ni vipi/
[Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/
[Verse Two:]
Unaikumbuka nako2nako ya bang na ndo zetu kuwakilisha/
Pindi wao na kikosi yechu yechu hamna vita/
Kabla ya Beef kabla ya kaka zetu kuchapika/
“Show love to each other”, mpaka Yesu akatajika/
Mambo yalikuwa fresh pindi Lord yuko na Ray/
“Hii kwa ajili yako baby”, nice back in a days/Huku Bu huku Ibra kabla hawaja-part ways/
“Hawatuwezi” was fav track to play/
Bila kipingamizi mi weusi naikubali/
Mmefanya mengi mmebisha sana kwenye safari/
Nidham na Juhudi ndo zimewafikisha mbali/
Napenda nijoin kundi so nkikaribishwa shwari/
Kushindana kwenye game isitujengee chuki/
Mwishoni tulogane rodi tutembee uchi/
Waambie wagombanishi wasituletee uzushi/
Tupigeni ngoma kali chorus atembee jux/
We never been friends I know that for sure/
Its over now I gotta bottle bring glasses to pour/
Allow me to get in ya plane let’s start the tours/
“Vipi Kuhusu kikosi Kazi?” hilo staki kujua/
Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala
hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/
Anafeli sasa kina rapcha hao watamwacha ameanza kuwataja ovyo wasipo respond ataanza kuwadis wasanii wote kutafuta att kama kaka yake mbishiUnajuaje kwamba hata ile diss haikuja kama njia ya ku catch attention kama ambavyo nafikiria atakua amefanya kwenye ngoma hii?
Au we una amini ile diss ya mawenge ilikua coincidence na sio kwamba ni ku catch attention za mashabiki?
Hahaha nimekusaidia kuwasilisha mkuuUmeniwahi ndio nilikuwa nachapa....hahahaaaa