P Square wamfunga mdomo Diamond!

duuh...................ucelebrate ni mgumu saana bongo!
atiii mrs davidoo daah!
 

Usemacho ni kweli.Hakuna mtu anayedhani diamond sio 'somebody'Ila kibaya tu ambacho hata mie sipendi kabisa kusikia,ni kujipa sifa zisizo stahili na wakati mwingine kuwaponda wengine ili wewe uonekane ni mtu fulani.Naamini ili mtu awe mtu fulani,lazima kwanza ajitambue udhaifu wake,atambue strength zake na ajue kuzitumia fursa zilizopo.Sasa watanzania tunakosea sana kuyapamba madhaifu yetu na kujiinua kusiko na uhalisia hata kidogo

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
shida baba.umaskini unawafanya watu wawe hivi walivyo...kula tano kwanza
 
hahah jamaa hawamjui haha,jaman alienda ma davido ambaye alialikwaaa
 
Mbona hiyo sentensi yako ipo clear na sasa kinachokutatiza wewe ni nini?! Kwanini wewe ukihidhuria harusi ya NasDaz ni lazima uwe umealikwa na NasDaz? Ikiwa ulialikwa na mtu mwingine tofauti na NasDaz, kwani itakuwa ni jambo la kushangaza cku NasDaz akisema kwamba hakufahamu? Yaani kwavile NasDaz hakufahamu ndo basi tena inakuwa umepoteza uhalali wa kuhudhuria harusi yangu?

Kama mimi ni Mr. Someone, halafu umealikwa kwenye shughuli inayonihusu mimi ambayo itakuwa imekusanya watu wazito wazito, hapo maana yake ni kwamba nawe ni miongoni mwao; kama unataka, we ringa tu na hata nikisema sikufahamu; it doesn't matter!
 
Awe kaalikwa ama hajaalikwa ila ukumbini kaingia na mnuso katupia,isitoshe hata mauno ya Ngololo kawamwagia.Sisi watoto wa uswazi kadi hatuzijui,tukiwa waandazi kwenye shughuli inatosha sana.Jenga urafiki na mpishi na wala sio bwana harusi.
Diamond anajua kutumia fursa yule mtu,ila kanaboa tatizo.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Tatizo la vijana wetu wa kitanzania wanapenda sana umaarufu wa kutengeneza. ACHENI KWANZA UMAARUFU UKOLEE, WATAWATAFUTA WENYEWE.
 
Wanaija kwa dharau hawajambo. Haya sasa nawauliza tena P2, je bado hamumjui DIAMOND PLATNUMZ?
 
Daa mwandishi wa hii habari ni mchochezi sana daaa!
 
Wanaija kwa dharau hawajambo. Haya sasa nawauliza tena P2, je bado hamumjui DIAMOND PLATNUMZ?

kwani wakati wanatoa hiyo kauli huyo diamond alikuwa na mafanikio haya aliyonayo leo? kipindi kile huyo diamond alikuwa mburura kama mamburura wengine akina ommy dimpoz
 
Wanaija kwa dharau hawajambo. Haya sasa nawauliza tena P2, je bado hamumjui DIAMOND PLATNUMZ?

Waache kama walivyo wana roho ya kwanini kama kabila fulani hapa nchini! Diamond anawanyima usingizi sijui kwanini? Ila kuna ukweli mmoja, mti wenye matunda bora daima ndio hurushiwa mawe mengi

Naseeb Abdul keep it up, don't stop till you get enough n let sky be your limit! HATERS WILL ALWAYS BE THERE..!!!
 
Daa mwandishi wa hii habari ni mchochezi sana daaa!

Nimepitia comments zote na nilisha sahau kama nilitupia huu Uzi. .nikasoma comment yko nikakumbuka mabishano yetu uliokimbia kuhusu hot mix ya sasa na ya Adrian Stepp hhah
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…