Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
noma sana huyu mtu...leo hii [HASHTAG]#tbt[/HASHTAG] nikaona nitumie muda kupitia kazi zake kidogo...ni mnoma mnoAna ngoma yake ile anaimba pole kwa wakiyokukuta,songa naye mzuri sikiliza beki tat
tengeneza jamii forum yako halafu weka hiyo mechanism lofa wewe....[emoji90] [emoji90] [emoji90]Nyuzi nyingine ingetakiwa ziwe zinafutika papo kwa papo zinapoandikwa automatically au kuwa na kifaa maakumu kung'amua kinachoandikwa kama ni utumbo basi hakiandikiki automatically.
Hichi ndicho kilichopo kichuani, matopetope matupu kama sio kamazi la dushetengeneza jamii forum yako halafu weka hiyo mechanism lofa wewe....[emoji90] [emoji90] [emoji90]
kum* wewe,acha shobokea post za wanaumeHichi ndicho kilichopo kichuani, matopetope matupu kama sio kamazi la dushe
Mwanaume mmeza dushekum* wewe,acha shobokea post za wanaume
siyo huyo mkuu....alokuwa na ngwair alikuwa anaitwa Mr P...Huyu anaitwa P the MCHuyu P the MC,ndye aliyekuwa na Mangwair dk za kwa Mzee Madiba...nilishawah sikiliza kazi zake flani ziko so hot!
Kama mada haikuhusu achana nayo nenda kwenye mada znazo kufaaHichi ndicho kilichopo kichuani, matopetope matupu kama sio kamazi la dushe
Huo nao ni mchango wangu pia au ulitaka niandike unachotaka kusikiaKama mada haikuhusu achana nayo nenda kwenye mada znazo kufaa
Tupo watu ambao tuko interested na uzi tutachangia
Sio huyo,unayemsema wewe ni M2 the PHuyu P the MC,ndye aliyekuwa na Mangwair dk za kwa Mzee Madiba...nilishawah sikiliza kazi zake flani ziko so hot!
Haahaaa! Uko -ve sana mkuuHuo nao ni mchango wangu pia au ulitaka niandike unachotaka kusikia
tabia za mashoga ni kuzunguka kila jukwaa kutafuta nyuzi za kuandika mashudu yaoHuo nao ni mchango wangu pia au ulitaka niandike unachotaka kusikia
INAITWA HUNA JIPYAAna ngoma yake ile anaimba pole kwa wakiyokukuta,songa naye mzuri sikiliza beki tat