Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
- Thread starter
-
- #21
basi ndio niko nazikula ngoma hapaINAITWA HUNA JIPYA
Hiyo nyimbo ipo wapi....!!??achana na story tatu ya jay moe,nikusaidieje ya profesa jay,starehe ya ferooz,mikasi ya ngwair au playboy ya nikki mbishi
huyu bwana anayietwa p the mc ni hatari kwa hizi nyimbo za kughani huku ukisimulia hadithi
anakosha sana.
Hii ngoma n kwkw aiseeCheck out the song.. Baba msaliti by P The Mc
P The Mc - Baba msaliti free MP3 download | Mdundo.com
hii inaitwa baba msaliti...noma sana ughani wake
Ushawahi fika kilingeniUlikua umevaa gauni la duka. Nywele umesuka, twende kilioni kwa mbele zimefumuka.... Longtime sana hii ngoma naikubali sana
anazo nyingi sana mkuu,nikudondoshee zote!?Hiyo nyimbo ipo wapi....!!??
Tupia hiyo unayo iita Ngoma kalianazo nyingi sana mkuu,nikudondoshee zote!?
....diss kwakoUlikua umevaa gauni la duka. Nywele umesuka, twende kilioni kwa mbele zimefumuka.... Longtime sana hii ngoma naikubali sana
Utakalia bila ky wesubiritabia za mashoga ni kuzunguka kila jukwaa kutafuta nyuzi za kuandika mashudu yao
ndio hizo shughuli zako,hapa hakuna anaetumia mashoga...tafuta uzi mwingineUtakalia bila ky wesubiri
Hapana mkuuUshawahi fika kilingeni
Check out the song.. Baba msaliti by P The McTupia hiyo unayo iita Ngoma kali
Inauma sana lakini ndio dawa, ulichoandika ni nakisi ya nini kilichopo kichuani na hakuna mjadala, makamasi matupu ya dushe. Sio sisi nikosa la wazazi wako.ndio hizo shughuli zako,hapa hakuna anaetumia mashoga...tafuta uzi mwingine
Watoto wangu wanauza siso,....diss kwako
nenda katapeli wazungu,siyo weusi wa africa
utabana vingi,haunibanii visa ubalozi
kafir*we mbeleInauma sana lakini ndio dawa, ulichoandika ni nakisi ya nini kilichopo kichuani na hakuna mjadala, makamasi matupu ya dushe. Sio sisi nikosa la wazazi wako.
Ndicho kilichopo kichuani, inaonekani ni tatizo la ukoo. Nikusaidie tu ili siku nyingine usilete mtindio wa ubongo hapa. Walau ungetupi vidio moja ya wimbo wa huyo unaemoigia debe, picha itusaidie kumjua au sehemu ya mashairi yake kwa ufupi, sio unakuja kama kidampa au nungunungu huku sio fb nyambafu.kafir*we mbele
fala kweli wewe....hata kuandika hujuiNdicho kilichopo kichuani, inaonekani ni tatizo la ukoo. Nikusaidie tu ili siku nyingine usilete mtindio wa ubongo hapa. Walau ungetupi vidio moja ya wimbo wa huyo unaemoigia debe, picha itusaidie kumjua au sehemu ya mashairi yake kwa ufupi, sio unakuja kama kidampa au nungunungu huku sio fb nyambafu.
Check out the song.. Mama mjane Feat. Ciannah by P The McWatoto wangu wanauza siso,
Vyuma chakavu, ipatikane pesa wakale japo kisamvu,
Mzazi niko bar nimeagiza mbuzi ubavu
Na chupa moja ya bakabi eti najenga shavu....