P the MC: Msanii bora wa hiphop kwa nyimbo za hadithi(story telling)

achana na story tatu ya jay moe,nikusaidieje ya profesa jay,starehe ya ferooz,mikasi ya ngwair au playboy ya nikki mbishi

huyu bwana anayietwa p the mc ni hatari kwa hizi nyimbo za kughani huku ukisimulia hadithi

anakosha sana.
Hiyo nyimbo ipo wapi....!!??
 
Ulikua umevaa gauni la duka. Nywele umesuka, twende kilioni kwa mbele zimefumuka.... Longtime sana hii ngoma naikubali sana
....diss kwako

nenda katapeli wazungu,siyo weusi wa africa


utabana vingi,haunibanii visa ubalozi
 
ndio hizo shughuli zako,hapa hakuna anaetumia mashoga...tafuta uzi mwingine
Inauma sana lakini ndio dawa, ulichoandika ni nakisi ya nini kilichopo kichuani na hakuna mjadala, makamasi matupu ya dushe. Sio sisi nikosa la wazazi wako.
 
kafir*we mbele
Ndicho kilichopo kichuani, inaonekani ni tatizo la ukoo. Nikusaidie tu ili siku nyingine usilete mtindio wa ubongo hapa. Walau ungetupi vidio moja ya wimbo wa huyo unaemoigia debe, picha itusaidie kumjua au sehemu ya mashairi yake kwa ufupi, sio unakuja kama kidampa au nungunungu huku sio fb nyambafu.
 
fala kweli wewe....hata kuandika hujui

hata hujui unachokiandika,umetumia muda angalau kupitia ujue unaandika kitu gani

wewe kama humjui kaa kimya,baki na tope zako unazopakuliwa marasani...

ukitaka kumjua uliza,mbona wenzio wanauliza

tatizo mkishafanikiwa kuijua jf mnajifanya wajuaji sana kumbe vilaza wanuka mkojo na wapakuliwa tope

mtoto wa kiume kushoboka wanapojadili wanaume ni dalili ya ushoga uliotukuka

acha nyege kijana,utaolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…