Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Huwezi kukiri lakini Elimu umepata, karibu tena.fala kweli wewe....hata kuandika hujui
hata hujui unachokiandika,umetumia muda angalau kupitia ujue unaandika kitu gani
wewe kama humjui kaa kimya,baki na tope zako unazopakuliwa marasani...
ukitaka kumjua uliza,mbona wenzio wanauliza
tatizo mkishafanikiwa kuijua jf mnajifanya wajuaji sana kumbe vilaza wanuka mkojo na wapakuliwa tope
mtoto wa kiume kushoboka wanapojadili wanaume ni dalili ya ushoga uliotukuka
acha nyege kijana,utaolewa
KinukyamauWewe dada mbona hupendi amani?
Kati ya verse ambazo nikisiliza nachekaHeti leo sina makeke sio messi ni barbertov
Tulia iingie ni dawaTuliza kijambio mrembo
Sema bila kuwa shoga huwezi kuzitambuaKumbe hata humjui ila sio tatzo maana ana nyimbo ngumu shoga hawezi zitambua
nje ya muziki jamaa ana mishe gani,maana naona ni kama mziki hauwalipi sana hawa jamaaBaba msaliti
Mama mjane
I miss u
Kiukweli hakuna kama P THE MC
Nimemjua enzi zile anafanya kipindi cha daladala TBC 1 jamaa anachana mno
anatafuta mume huyu bwanaWewe dada mbona hupendi amani?
jamaa kumbe ni teja kabisa!?Matango pori huyo teja ni M to he P
Yule nadhani alikua nash McBaba msaliti
Mama mjane
I miss u
Kiukweli hakuna kama P THE MC
Nimemjua enzi zile anafanya kipindi cha daladala TBC 1 jamaa anachana mno
ndio niliuliza M to the PP THE MC sio teja wala hanywi pombe
Nae msemea ni M TO THE P
Na hutumia kiswahili mwanzo mwishoJamaa nyimbo zake ni nzuri sana siyo ngumu sana kuelewa anajitahidi sana kupangilia mizani na vina nazipenda sana nyimbo zake kupita nyimbo nyingine za Hip hop kibongo
Wataje majina mkuu itapendeza zaidiOld school emc's were far better than the current emc's kwenye story telling
Samahani nimekosea,ni M 2 The PHuyu P the MC,ndye aliyekuwa na Mangwair dk za kwa Mzee Madiba...nilishawah sikiliza kazi zake flani ziko so hot!
Ni kweli ni 'M 2 THE P'Matango pori huyo teja ni M to he P