Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
- Thread starter
-
- #61
huyu hapaPICHA WEKA MKUU
hapo sawaahuyu hapaView attachment 715816
King Crazy GK ( sauti ya manka, Tutakukumbuka, Kosa langu)Wataje majina mkuu itapendeza zaidi
Huyu P the MC,ndye aliyekuwa na Mangwair dk za mwisho kwa Mzee Madiba!
Alimdiss kwenye wimbo ganiP the mc, nashangaa fid alikua ana mdiss uyu mchz
duhHapana mkuu, yule anaitwa Sista P
anakata uno kiwa-sidenje ya muziki jamaa ana mishe gani,maana naona ni kama mziki hauwalipi sana hawa jamaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]unaweza kuta huyu aliyeleta hii habari ndo p the mc mwenyewe kaingia na Id fake
mi nikiwa huru,uhuru kwa maselaHUNA JIPYA,WANANGU,BABA MSALITI,UKIPANDA DAU
anaitwa M 2 the P..jamaa yake na ngwair,watoto mlioanza kujua mziki 2015 ndo mnakuja na story hizi za kina P the MC.haha anaweza but hajafika kiwango ichoo..maybe wanangu.he's trynsiyo huyo mkuu....alokuwa na ngwair alikuwa anaitwa Mr P...Huyu anaitwa P the MC