Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Soko liko uarabunikule ukraine wanapgana vita,yugoslavia juzi tu hapa,isitoshe watu weupe wameona wafanye movie za ngono na kuuza,na soko kubwa lipo hukohuko kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soko liko uarabunikule ukraine wanapgana vita,yugoslavia juzi tu hapa,isitoshe watu weupe wameona wafanye movie za ngono na kuuza,na soko kubwa lipo hukohuko kwao
Same na wachina wakikutana Mwanalumango..... same na wajapan wakikutana katavi.... fikiri nje ya boxi mkuu... kuishi nchi nyingi hakujakunufaisha kifikra naona....
Cool... as u may find it right.... the issue here is not about scientific theories rather the ignorance, dictatorship and inability of out leaders to governPythagoras was a great scientist in his days but so many important ones followed after him. And many more will come.
If you say all swans are white it takes the siting of any non- white swan to prove that the theory is wrong.
Cool... as u may find it right.... the issue here is not about scientific theories rather the ignorance, dictatorship and inability of out leaders to governPythagoras was a great scientist in his days but so many important ones followed after him. And many more will come.
If you say all swans are white it takes the siting of any non- white swan to prove that the theory is wrong.
Silaha walizonazo Amerika mikononi mwao zingekuwa mikononi mwetu unafikiri kwa siku moja tungepata matukio mangapi ya majerui au mauaji?kule ukraine wanapgana vita,yugoslavia juzi tu hapa,isitoshe watu weupe wameona wafanye movie za ngono na kuuza,na soko kubwa lipo hukohuko kwao
Halafu ujue hata ndoa za jinsia moja wanazikubali kweli Halafu wanapinga FGMkule ukraine wanapgana vita,yugoslavia juzi tu hapa,isitoshe watu weupe wameona wafanye movie za ngono na kuuza,na soko kubwa lipo hukohuko kwao
Nipo na wewe kabisa!!!! Na Waafrika hawataweza kwenda mbele mpaka kwanza tujiulize kwanini hatupigi hatua karne zote hizi.That is how we are. Ukubali usikubali. There is nothing valuable we can do, there is nothing we can change. Angalia kinachoendelea nchini watu wanalialia tu. Sukari inapanda kiholela viongozi wetu wakuu wanakuja na matamko, matamko yao hayatekelezwi. What kind of research do you need to prove our failure? We are the most failure specie on this planet. Hata tufanyeje, bila kubadili mindset zetu tutaendelea kubaki hivyo tu.
Mpaka muda huu bado unabisha?Aha wapi, upuuzi wa kumshangilia Botha, hivi unajua ni Watanzania wangapi walipoteza maisha kwa sababu ya sera na maamuzi ya huyo Botha? Leo hii kusikia nyie vijana mnamhusudi mtu aliyaona nyie ni sawa na nyani hata kuwaua kama sio wendawazimu ni nini?
we nawe ni kabishi....Sukari imepanda kwasababu ya forces za demand and supply, siyo kwasababu viongozi wanatoa matamko halafu hayatekelezeki.
Tarehe 01/09/2016 kauli hii inaenda kutimia.Ndio sababu ulifeli mitihani. Kichwa nazi ndani maji tupu.
Sawa, kwani huoni kwa sasa iyo statement Ina Uhai wakutosha? Jenga hoja kupinga iyo kauli. We Africans.......( namalizia tafiti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji108])Hayo maneno aliongea katika context gani? Leo unashindwa kupinga hayo maneno kwa utafiti upi uliofanya?
Huyo Botha aliongea hiyo kauli kwenye kipindi ambacho apartheid imeshika kasi South Africa, so chochote kilichotamkwa au kufanywa na serikali yake kilikuwa influenced na mazingira hayo.
Vipi unasemaje kwa yanayoendelea leo hii?Ndio sababu ulifeli mitihani. Kichwa nazi ndani maji tupu.
Mkuu,leo yametimia tena kwenye huu uchaguzi wa madiwani!we nawe ni kabishi....
.yaani unabisha alimradi uonekane na wewe ni mtengeneza hoja......sasa ambacho wewe unasema hakina ukweli au haki apply hapo ni nini labda?!
Maana kama ni uhalisia unaonekana jamii hii ya wakazi wa afrika(si kwasababu ya rangi zao.....kwa sababu ya aina ya tabia ya jamii husika) hawana mwelekeo wa pamoja wa kutoka kiuchumi bado tenasa katika hatua za awali kabisa za maendeleo au kupiga hatua kwa jamii ya binadamu......
Anaushahidi,ona zuma,pale lesoto,sudani kusini,na kwingine unaona demokrasia inavyo kanyagwa. Salary, the man was right.Ulisema:".....African's can not rule themseleves.Give them guns and they will kill each other.They are good in nothing else but makingi noise, dancing,marrying many wives and indulging in sex....."
Haya ni maneno yanayodaiwa kutolewa na Botha mwaka 1985.