Paa za kujificha na Paa za kuonekana

Paa za kujificha na Paa za kuonekana

Eti unakuta bongo mtu anajenga paa la kujificha watu hawajui hata maana.
Paa la kujificha ni Maalumu kwa nchi za jangwani zisizo na miti zenye upepo mkali ile gema la juu ndio uzuia nyumba isiezuliwe na upepo maana kule ukijenga paa za kuonekana zinabebwa na upepo.
Sehemu za joto zisizo na upepo paa sahihi ni ya kuonekana sababu inasadia kupooza nyumba joto kwa sababu ya uwepo wa nafasi kubwa kati ya paa na selling.
Hizi za kujificha na mafundi wetu,plus bati na mbao visivyo na ubora tegemea kuzeeka mara mbili.
Mkuu Capetown kuna mahali panaitwa Seawind pembezoni na bahari huwa kuna upepo mkalii lakini nyumba za hayo maeneo ni yenye paa zisizojificha. Je hawa waandisi unahisi walikosea kujenga hizo nyumba kutokana na ushauri wako uliompa huyo jamaa
 
Kweli nimeamini. Uncle wangu alijenga contemporally kali sana lakini jana nimefika kwake nikamwonea huruma. Nyumba inachora ramani juu kwenye gypsum, nimehis tu ni maji yameshaanza
Kuna kitu kinaitwa insulation je wakati bati anaweka hiyo insulation iliweka... Hata wakati pia kabla hujapiga ceiling board pia waweza weka.

Ingia YouTube andika roofing insulation
 
Me nimeezeka nyumbani yangu kwa mtindo huu, ila zile mvua za Masika nyumba ikaanza kuvuja kidogo.

Niko natafuta fundi mzuri akafanye marekebisho.

Ingawa nimeambiwa kuna materials ziko Nabaki Afrika zinaweza kunisaidia kuzuia hilo tatizo.
Mkuu watu wengi ujenga kwa kuangalia picha na hawashirikishi wataalam wa fani ya ujenzi.
Pale bati inapokutana na ukuta kunatakiwa kuwe na vibati vyenye umbo la Z vinaitwa flashing na siyo kuweka undongo. Bati na undongo havina muingiliano.
Kuhusu joto kuna materials ya kupunguza joto yanawekwa kabla ya bati yanaitwa sisalation. Pia urefu wa kutoka chini hadi ceiling zinapoanzia unatakiwa uwe wa kutosha.
Pia hizo nyumba zinatakiwa ziwe na gutter ya zege kwa ndani na hiyo gutter inatakiwa ifanyiwe finishing za water proofing materials zinaitwa roof felt.
Kiufupi aina hiyo ya paa inahitaji utaalam nasiyo kujenga kwa kutumia picha.
 
Mkuu watu wengi ujenga kwa kuangalia picha na hawashirikishi wataalam wa fani ya ujenzi.
Pale bati inapokutana na ukuta kunatakiwa kuwe na vibati vyenye umbo la Z vinaitwa flashing na siyo kuweka undongo. Bati na undongo havina muingiliano.
Kuhusu joto kuna materials ya kupunguza joto yanawekwa kabla ya bati yanaitwa sisalation. Pia urefu wa kutoka chini hadi ceiling zinapoanzia unatakiwa uwe wa kutosha.
Pia hizo nyumba zinatakiwa ziwe na gutter ya zege kwa ndani na hiyo gutter inatakiwa ifanyiwe finishing za water proofing materials zinaitwa roof felt.
Kiufupi aina hiyo ya paa inahitaji utaalam nasiyo kujenga kwa kutumia picha.
Shukrani kwa maarifa.

Kama hautajali nitaomba mawasiliano ya fundi wako kama yuko vizuri eneo hilo.
 
OK. Itakuwa rahisi kwani fundi yupo dar. Nitumie number yako pm ili ni share na fundi aje afanye assessment kwanza.
Naomba nitumie namba ya huyo Fundi, nitawasiliana naye.
 
Contemporary is the best. Ukipata fundi makini. Nasio fundi tu
 
Back
Top Bottom