Hahahaha mkuu huyu mechi 10 anashinda 2 draw 5 anapigwa 3 kwa wachezaji aina ya kibu DGame changer hashwindwi kitu,wote wapo vzuri na wanafundishika kabisa
Kibu akipata mwalim mzuri kila siku atakuwa anatupia tuHahahaha mkuu huyu mechi 10 anashinda 2 draw 5 anapigwa 3 kwa wachezaji aina ya kibu D
Huyu kocha ni mdogo kuliko Onyango
Watanzania kwa ujuaji hamjambo? Taifa la watu wa porojo na alf ulela! Unaongelea Experience utafikili experience inanunuliwa sokoni kama ndizi!! Au mpira wa Africa ni tofauti na mpira wa Asia, ulaya,na America?! Tofauti yake ni nini? Je kuna kozi maalumu ya kufundisha mpira wa Africa ambayo uyo mwalimu mpya hana? Je hao wenye experience mnaowasema ambao wamekwisha kuja hapa nchini kwa mamia,walifanikiwa kutufikisha wapi?Walisema wanamtaka asie na jina wala CV kubwa aje kuvipatia vyote Simba SC, hii kamari ngoja tuone kama italipa.
Hivi unaweza kuwa na malengo ya kufika mbali kwenye mashindano ya nje na ndani halafu ukamchukua kocha asie na experience ya mashindano husika?
Wanasema wanamtaka asie na jina ili awe na kiu ya mafanikio, kwani mwenye jina ndio anaweza kukubali kuharibu CV yake kizembe kwa kutofikia malengo ya kazi yake?
Hapa naona bora wangetupa sababu nyingine ya kumchukua huyo kocha asiyefahamika, kama ni issue ya mshahara tujue, lakini tusidanganyane na sababu zao walizotoa kwa kumchukua huyo kocha, Simba SC kwa level waliyofiki sio timu ya kuwajaribu makocha, sioni maana ya kumuacha Gomes halafu unaenda kumchukua mwenye CV ndogo zaidi.
#madness.