Pablo Franco Kocha Mpya wa Simba SC

Tayari kocha kashaanza kulalamika, kasema umri wa wachezaji wengi wa Simba siyo umri wa mashindano.
 
Watanzania kwa ujuaji hamjambo? Taifa la watu wa porojo na alf ulela! Unaongelea Experience utafikili experience inanunuliwa sokoni kama ndizi!! Au mpira wa Africa ni tofauti na mpira wa Asia, ulaya,na America?! Tofauti yake ni nini? Je kuna kozi maalumu ya kufundisha mpira wa Africa ambayo uyo mwalimu mpya hana? Je hao wenye experience mnaowasema ambao wamekwisha kuja hapa nchini kwa mamia,walifanikiwa kutufikisha wapi?

Mpira duniani ni uleule na mpira una njia zake na mifumo yake ya kupitia ili uwe bora, kuanzia ngazi ya mchezaji tangu akiwa mtoto,na pia mifumo ya utendaji kiuongozi, ambalo ndio tatizo africa tunapungukiwa nalo, kupata wachezaji ambao hawana misingi ya kimchezo na kuwa na viongozi wasiojua mifumo ya kiuongozi ikichangiwa na umaskini na ujinga wa watu wetu ndio maana hatufanikiwi.
Sio suala la makocha,kusema kocha hana experience ni ushabiki maandazi na kuficha matatizo yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…