Whatever it is you won't do a thing about it utapanua tuuu mdomo hapa JF. Pole kwa maumivu ya sindano kugusa hapo ndipo.Nonsense,kwani hiyo miaka yote mlikuwa hamjui kwamba zinapiga propaganda? That's media gagging!
Acha povu, jenga hojaWhatever it is you won't do a thing about it utapanua tuuu mdomo hapa JF. Pole kwa maumivu ya sindano kugusa hapo ndipo.
Sasa wewe unaanzisha uzi kisha wewe mwenyewe unawai nafasi zetu sisi na kina Joseverest. Ndo unatakaje sasa? Badilika bana, acha usangwenya!Povu la OMO[emoji2]
Hoja yangu kubwa ni kuwakumbusha nyinyi bado sana kutoka LDC.Acha povu, jenga hoja
Jenga hoja namna ya kuondoa njaa na slums za kiberaHoja yangu kubwa ni kuwakumbusha nyinyi bado sana kutoka LDC.
Kibera ni yetu LDC ni yenu.Jenga hoja namna ya kuondoa njaa na slums za kibera
Njaa ni ya nani?Kibera ni yetu LDC ni yenu.
hahahaha Baba wa demokrasia.....
cc Salary Slip
Wakuu mbona kuna maelezo mazuri tu chini hapaHahahahahah Eti baba wa demokrasia ipi?copy to Mange kimambi.
.....
The Head of State usually holds closed door talks after such meetings, but journalists who attended the function termed his tone as hostile during the address
Kawaida yake rais Uhuru Kenyatta akimaliza kikao na wanahabari pale ikulu, huwa anawaambia karibuni chai. Sasa alipowanyooeshea kidole cha kati badala ya kuwapa chai ilibidi hawa jamaa wa'catch mafeelings' tu! Walizoea sana! πππ Ila wajue kwamba, mambo hubadilika bana, acha wakanywe chai kwa wake zao! ππWakuu mbona kuna maelezo mazuri tu chini hapa
Ni yetu na pia middle income ni yetu.Njaa ni ya nani?
Jenga hoja acha kurukaruka kama maharage ya kwenye chunguHoja yangu kubwa ni kuwakumbusha nyinyi bado sana kutoka LDC.
Kawaida yake rais Uhuru Kenyatta akimaliza kikao na wanahabari pale ikulu, huwa anawaambia karibuni chai. Sasa alipowanyooeshea kidole cha kati badala ya kuwapa chai ilibidi hawa jamaa wa'catch mafeelings' tu! Walizoea sana! πππ Ila wajue kwamba, mambo hubadilika bana, acha wakanywe chai kwa wake zao! ππ
Naona huko kwenu vyuma vimekazaaa hadi ukaweka kama Avatar yako.Jenga hoja acha kurukaruka kama maharage ya kwenye chungu
Boga kabisa!!!
Man hiyo ni 'figure of speech' tu meaning he told them off! Do I have to explain such simple terms? Acha ushamba wewe!Kwa hiyo Uhuru Kenyatta aliwanyooshea kidole cha kati waandishi wa habari, kweli demokrasia imekuwa Kenya