YUDITHA
Senior Member
- May 5, 2013
- 154
- 28
Ndugu ,mimi ni mfugaji wa kuku kwa muda nimekuwa nikiuza wakiwa wazima.
kwa sasa nataka niongeze thamani ya kuku wangu nifungashe, niweke label, na kuuza. nzifahamu hatua zote za kupitia kabla sijaingiza mzigo sokoni.
Ninachoomba kutoka kwenu naomba mnisaidie upakikanaji wa soko kwa bidhaa ninazotaka kuunza kazalisha. Niko kibaha .
Niambieni sehemu yeyote nitaenda kuongea nao iwe ktk masuper market, hotelini, cafe, vyuo ,sherehe mbali2 ikiwemo tenda za harusi n.k
0753359245 ,0713299513 Naomba tuwasiliane kwa namba hizo.
kwa sasa nataka niongeze thamani ya kuku wangu nifungashe, niweke label, na kuuza. nzifahamu hatua zote za kupitia kabla sijaingiza mzigo sokoni.
Ninachoomba kutoka kwenu naomba mnisaidie upakikanaji wa soko kwa bidhaa ninazotaka kuunza kazalisha. Niko kibaha .
Niambieni sehemu yeyote nitaenda kuongea nao iwe ktk masuper market, hotelini, cafe, vyuo ,sherehe mbali2 ikiwemo tenda za harusi n.k
0753359245 ,0713299513 Naomba tuwasiliane kwa namba hizo.