sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Habari nilizonazo mpaka sasa afya ya Pacome imeimarika na atasafiri na kikosi kuelekea Mwanza. Lolote linaweza kutokea haswa mechi ya derby.
Yao Kwasi bado kuna uwezekano akaikosa mechi tatu zinazokuja.
Yao Kwasi bado kuna uwezekano akaikosa mechi tatu zinazokuja.