sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
SIMBA NI TIMU YA MAMBUMBU,,Dr Aden Rage 2003"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI" - DR LUC EYMAEL 2020
SIMBA NI TIMU YA MAMBUMBU,,Dr Aden Rage 2003
Mwaka gani nikumbushe2003 jamaa Muongo sana wewe!!!!
Tutaanza na Feisal, halafu kuna yule sijui Zaid sijui yazid, tunamalizia na kipreDah ila zile injury zilikuwa kiboko nadhani ma daktari wanahangaika usiku na mchana
Azam naomba tukutane nao pale Kwaraa Babati wataipende show
Wametangaza vita kimsingi huu mwaka wataondoka bila hata medal final tucheze TU na Ihefu basi inatosha na bado itashine kama 16 na Dodoma uwanja ulitapika vipi finalTutaanza na Feisal, halafu kuna yule sijui Zaid sijui yazid, tunamalizia na kipre