Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Simba ipo kwenye mpito(transition) baada ya kufanya vibaya mfululizo mpaka kufungwa na mtani wake goli nyingi,iliamua kubadilisha kocha wake ambaye inabidi apewe mda wa kuleta mabadiliko,mabadiliko hayaji kwa usiku mmoja.Kinaniuma sana hiki lakini sisi mashabiki wa Simba tulivyo mambumbumbu tunawacheka Yanga wakati kwetu hali si hali.
Ignore list ni muhimu sana kwa watu wenye midomo michafu. Ila ni muhimu ikaboreshwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] punguza hasira bhanaa wee.
Utopolo hamjawahi na hamtowahi kumiliki akiliKinaniuma sana hiki lakini sisi mashabiki wa Simba tulivyo mambumbumbu tunawacheka Yanga wakati kwetu hali si hali.
Hili utopolo wanajizima dataYanga imecheza mechi 9 za Caf champions league hajawahi kushinda hata mechi moja kati ya hizo vipigo vitano droo 4
Mimi ni mwanalunyasi mwenzako nasema ukweli tuUtopolo hamjawahi na hamtowahi kumiliki akili
Ndo football ilivyo, vumilia mbanga za mashabiki wake.Ignore list ni muhimu sana kwa watu wenye midomo michafu. Ila ni muhimu ikaboreshwa.
Una ignore lakini unasoma. Unajitia kidole halafu unanusa kisha unauliza ni harufu gani unasikia. Maumivu yako pale pale pimbi weweKwa mtu yeyote humu jukwaani ukiona unani quote, halafu sikujibu chochote! Basi jiongeze. Utakuwa kwenye ignore list yangu kitambo.
Mimi sina mazoea na mbwa wenye midomo michafu.
Na ikawa.....Ila mashabiki wa simba bhana!! Yaani umeshasahau timu yako kuanzia saa sita usiku wa leo, na yenyewe itakuwa inashika mkia.
Unapata kabisa mpaka ujasiri wa kuicheka Yanga ambayo bado ina matumaini ya kusonga mbele kwenye hatua inayofuata!! Pole sana.