PACOME DAY "Kitaalamu Zaidi"

PACOME DAY "Kitaalamu Zaidi"

Siku zikiwa zimetaradadi kuelekea mechi ya Yanga na CR ambayo sisi kama wana Yanga tumeamua kuuita PACOME DAY" Kitaalamu zaidi", ewe mwananchi tupia picha za maandalizi ya siku hii muhimu ikiwa kama njia ya kuanza kuhamasishana kuujaza uwanja.

Kumbuka: Kulikuwa na Kibu DAY katika tarehe 5imba/11/2023. Ewe guvumoya a.k.a tatu Malogo FC kaa mbali na PACOME DAY kwani mlikandwa 5, wakati wa Kibu DAY.
View attachment 2912406View attachment 2912407View attachment 2912408
Aziz Ki day itabidi mjipake tomato sauces midomoni!
 
Ila tungepeleka juhudi kwenye kubuni mbinu za kumpiga mkono wa nyani mwarabu ungefanya la maana kuliko kufanya huu ujinga wa kupaka bleach kama mashangazi wa Kinondoni.

Urembo mwingine ni kijidharirisha tu [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila tuweni wakweli hii siku imewaumiza wengi sana. 😂😂

#Kitaalamuzaidi.
Wengi wao walioumizwa ni wale wanaolazimishwa wawe na mwonekano wa kike ilhali wao ni wanaume.

Ali Kamwe kawa kama demu wa Sinza baada ya kupaka bleach, unadhani mjomba ake atatulia tu ? Lazima aumie kwa kuona kijana wake wa kiume akibadilika na kuwa na mwonekano wa kike.
 
Wengi wao walioumizwa ni wale wanaolazimishwa wawe na mwonekano wa kike ilhali wao ni wanaume.

Ali Kamwe kawa kama demu wa Sinza baada ya kupaka bleach, unadhani mjomba ake atatulia tu ? Lazima aumie kwa kuona kijana wake wa kiume akibadilika na kuwa na mwonekano wa kike.
Lol
 
Back
Top Bottom