Pacome yupo tayari kuwakabili Uruguay

Pacome yupo tayari kuwakabili Uruguay

Somi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2009
Posts
3,921
Reaction score
4,858
Kwa Mara ya kwanza mchezaji kutoka ligi ya Tanzania kuchezea mabingwa wa Afrika dhidi ya mechi na mabingwa wa zamani wa dunia.

D08FC134-A9C7-4732-A0F1-9231E2CFAECB.jpeg
 
Hiyo inakuja baada ya wachezaji tegemeo katika hiyo nafasi kugoma
Mnaongea kwa kuwa mnamuona Mkapa ila Wa Ivory Coast kwenye mpira wamefanya mengi sana hao sip kwa kuwa unamuona Yanga basi unamletea dharau...huyo ni umri ndio maana yupo Afrika ila kwao kucheza Ulaya ni kama wa Kariakoo kwenda Kigamboni...
 
Mnaongea kwa kuwa mnamuona Mkapa ila Wa Ivory Coast kwenye mpira wamefanya mengi sana hao sip kwa kuwa unamuona Yanga basi unamletea dharau...huyo ni umri ndio maana yupo Afrika ila kwao kucheza Ulaya ni kama wa Kariakoo kwenda Kigamboni...
Kwani ni uongo Mkuu?

Hivi Pacome angeitwa kwenye timu ya taifa kama ingekuwa ni mechi ya muhimu?
 
Kwani ni uongo Mkuu?

Hivi Pacome angeitwa kwenye timu ya taifa kama ingekuwa ni mechi ya muhimu?
Comrade, jitahidi upunguze manung'uniko na chuki. Kwenye kikosi cha awali cha Afcon aliitwa! Kuitwa tu kwenye timu ya Taifa ya Ivory Coast yenye mastaa waliotapakaa ulaya kote, siyo jambo jepesi!

Au umesahau hata kwenye timu yenu ya simba mna mchezaji raia wa Ivory Coast? Je, aliwahi kuitwa hata kwenye kikosi cha mchujo kama Pacome?
 
Comrade, jitahidi upunguze manung'uniko na chuki. Kwenye kikosi cha awali cha Afcon aliitwa! Kuitwa tu kwenye timu ya Taifa ya Ivory Coast yenye mastaa waliotapakaa ulaya kote, siyo jambo jepesi!

Au umesahau hata kwenye timu yenu ya simba mna mchezaji raia wa Ivory Coast? Je, aliwahi kuitwa hata kwenye kikosi cha mchujo kama Pacome?
Umefafanua vizuri
 
Comrade, jitahidi upunguze manung'uniko na chuki. Kwenye kikosi cha awali cha Afcon aliitwa! Kuitwa tu kwenye timu ya Taifa ya Ivory Coast yenye mastaa waliotapakaa ulaya kote, siyo jambo jepesi!

Au umesahau hata kwenye timu yenu ya simba mna mchezaji raia wa Ivory Coast? Je, aliwahi kuitwa hata kwenye kikosi cha mchujo kama Pacome?
Sikatai kuwa tuna mchezaji wa Ivory Coast na wala ukiniambia kuwa hana uwezo wa kupambania namba kwenye kikosi cha timu ya taifa siwezi kukupinga au kukuona hater wakati ni ukweli.

Lazima tukubali kuwa Pacome ameitwa kwasababu sio mechi muhimu. Ingekuwa mechi muhimu asingeitwa huo ni ukweli.
 
Ukiweza Mkuu uwe unaangalia Wachezaji wa Ivorian walivyo kama nyuki Ulaya harafu unaona wanamuita mchezaji kutoka ligi yetu pana kitu unatakiwa ukague hapo...
Ndio maana unaona hilo linafanyika ikiwa hao wa Ulaya wengi wamegoma kutokana na mechi isibyokuwa ya muhimu.

Ni kama Samatta tu alivyokataa kujumuishwa kwenye kikosi.
 
Ndio maana unaona hilo linafanyika ikiwa hao wa Ulaya wengi wamegoma kutokana na mechi isibyokuwa ya muhimu.

Ni kama Samatta tu alivyokataa kujumuishwa kwenye kikosi.
Mkuu mpira unakusumbua sana Madrid imetoa wachezaji wake wote kupeleka kwenye hizi mechi hao Uruguay wanaocheza na Ivory wameita karibu kikosi chao kile kile angalia kikosi cha Brasil kitakachocheza na England pamoja na Spain hizi mechi zinatumika na FIFA kwenye rankings pia usiongee kwa kusikia watu wengi wakiongea Scars upo vizuri jaribu kujiongeza bhana...
 
Sikatai kuwa tuna mchezaji wa Ivory Coast na wala ukiniambia kuwa hana uwezo wa kupambania namba kwenye kikosi cha timu ya taifa siwezi kukupinga au kukuona hater wakati ni ukweli.

Lazima tukubali kuwa Pacome ameitwa kwasababu sio mechi muhimu. Ingekuwa mechi muhimu asingeitwa huo ni ukweli.
Kwa Diara kipindi anapiga benchi Mali nation team Makolo mlikuwa na maneno kama hayo,kuwa hawezi kuanza mala hivi na vile.
 
Mkuu mpira unakusumbua sana Madrid imetoa wachezaji wake wote kupeleka kwenye hizi mechi hao Uruguay wanaocheza na Ivory wameita karibu kikosi chao kile kile angalia kikosi cha Brasil kitakachocheza na England pamoja na Spain hizi mechi zinatumika na FIFA kwenye rankings pia usiongee kwa kusikia watu wengi wakiongea Scars upo vizuri jaribu kujiongeza bhana...
Labda usome hapa chini mwenyewe
Screenshot_20240321-221658.png
 
Kwa Diara kipindi anapiga benchi Mali nation team Makolo mlikuwa na maneno kama hayo,kuwa hawezi kuanza mala hivi na vile.
Rank ya Mali na Ivory Coast sio sawa
 
Sikatai kuwa tuna mchezaji wa Ivory Coast na wala ukiniambia kuwa hana uwezo wa kupambania namba kwenye kikosi cha timu ya taifa siwezi kukupinga au kukuona hater wakati ni ukweli.

Lazima tukubali kuwa Pacome ameitwa kwasababu sio mechi muhimu. Ingekuwa mechi muhimu asingeitwa huo ni ukweli.
Sema Simba mna shida sana. Mbona Kanoute yule tangu aje simba hajawai kabisa kukanyaga team ya taifa. Kupata priviledge ya kuchezea Ivory coast au Mali inahitaji kipaji kikubwa sana hata kama unaitiwa mechi ndogo.
 
Comrade, jitahidi upunguze manung'uniko na chuki. Kwenye kikosi cha awali cha Afcon aliitwa! Kuitwa tu kwenye timu ya Taifa ya Ivory Coast yenye mastaa waliotapakaa ulaya kote, siyo jambo jepesi!

Au umesahau hata kwenye timu yenu ya simba mna mchezaji raia wa Ivory Coast? Je, aliwahi kuitwa hata kwenye kikosi cha mchujo kama Pacome?
Akikujibu nitag please
 
Labda usome hapa chini mwenyewe View attachment 2941116
Mkuu sijajuelewa hoja yako ni nini maana hiyo taarifa ilikuja kwa kifaransa na hao wametafsiri vile vile ndio Sangare katoa taarifa majeruhi kwa uwezo wako unadhani Pacome hawezi kuchezea Ivory Coast au mbona ina wachezaji wa kawaida sana sema wengi wana connection ya nje kutokana na historia yao nzuri kwenye mpira...hiki sio kikosi bora cha kusema Pacome pale wa kawaida wakati wapo wengi wa kawaida tu...
 
Comrade, jitahidi upunguze manung'uniko na chuki. Kwenye kikosi cha awali cha Afcon aliitwa! Kuitwa tu kwenye timu ya Taifa ya Ivory Coast yenye mastaa waliotapakaa ulaya kote, siyo jambo jepesi!

Au umesahau hata kwenye timu yenu ya simba mna mchezaji raia wa Ivory Coast? Je, aliwahi kuitwa hata kwenye kikosi cha mchujo kama Pacome?
Sio lazima iwe Ivory Coast, ilikuwa Senegal mwaka mmoja uliopita mabapo Sakho aliitwa kwenye kikosi, sio kwenye mchujo
cc: kagwima
 
Back
Top Bottom