Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Nani amebisha kuwa Kanoute hajaitwa national team?Sema Simba mna shida sana. Mbona Kanoute yule tangu aje simba hajawai kabisa kukanyaga team ya taifa. Kupata priviledge ya kuchezea Ivory coast au Mali inahitaji kipaji kikubwa sana hata kama unaitiwa mechi ndogo.