Pacome Zouzou achaguliwa kuwa mchezaji bora hatua ya makundi CAF champions league

Pacome Zouzou achaguliwa kuwa mchezaji bora hatua ya makundi CAF champions league

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Mwamba pacome zouzou amechaguliwa kuwa mchezaji Bora na caf hatua ya makundi iliyotamatika hivi karibuni!

Pacome kawamwaga wenzake baada ya kuwa na rating kubwa ya (7.99) kuliko wenzake kwenye Kila mechi ambapo ameonekana kuwa hatari kwenye match zote alizocheza!

Amafuatiwa na mostapha shobeir wa Aly ahly aliyepata rate ya (7.93) Sankara karamoko wa Asec mimosas mwenye rate ya (7.74) Aly mahloul wa Aly ahly mwenye rate ya (7.73) aliyefungana na wonlo koulibaly wa Asec mimosas mwenye rate ya (7.73)!

Wakati huo huo vinara wa ufungaji hatua ya makundi ni Sankara karamoko wa Asec mimosas aliyekuwa na magoli 4 na assist 1, pacome zouzou mwenye magoli 3 na assist 2, Hussein shehat mwenye magoli 3 bila assist!

CAF WAMEMALIZA UBISHI WA NANI BORA KATI YA YULE NA UYU! UBORA UNAONYESHA KWENYE MATCH ZOTE NA SIO MATCH NDOGO NDOGO PEKE YAKE UKU MATCH NGUMU UJULIKANI UPO UWANJANI AMA NJE YA UWANJA!
 
Mwamba pacome zouzou amechaguliwa kuwa mchezaji Bora na caf hatua ya makundi iliyotamatika hivi karibuni!

Pacome kawamwaga wenzake baada ya kuwa na rating kubwa ya (7.99) kuliko wenzake kwenye Kila mechi ambapo ameonekana kuwa hatari kwenye match zote alizocheza!

Amafuatiwa na mostapha shobeir wa Aly ahly aliyepata rate ya (7.93) Sankara karamoko wa Asec mimosas mwenye rate ya (7.74) Aly mahloul wa Aly ahly mwenye rate ya (7.73) aliyefungana na wonlo koulibaly wa Asec mimosas mwenye rate ya (7.73)!

Wakati huo huo vinara wa ufungaji hatua ya makundi ni Sankara karamoko wa Asec mimosas aliyekuwa na magoli 4 na assist 1, pacome zouzou mwenye magoli 3 na assist 2, Hussein shehat mwenye magoli 3 bila assist!

CAF WAMEMALIZA UBISHI WA NANI BORA KATI YA YULE NA UYU! UBORA UNAONYESHA KWENYE MATCH ZOTE NA SIO MATCH NDOGO NDOGO PEKE YAKE UKU MATCH NGUMU UJULIKANI UPO UWANJANI AMA NJE YA UWANJA!
Lete riferensi.
 
Mwamba pacome zouzou amechaguliwa kuwa mchezaji Bora na caf hatua ya makundi iliyotamatika hivi karibuni!

Pacome kawamwaga wenzake baada ya kuwa na rating kubwa ya (7.99) kuliko wenzake kwenye Kila mechi ambapo ameonekana kuwa hatari kwenye match zote alizocheza!

Amafuatiwa na mostapha shobeir wa Aly ahly aliyepata rate ya (7.93) Sankara karamoko wa Asec mimosas mwenye rate ya (7.74) Aly mahloul wa Aly ahly mwenye rate ya (7.73) aliyefungana na wonlo koulibaly wa Asec mimosas mwenye rate ya (7.73)!

Wakati huo huo vinara wa ufungaji hatua ya makundi ni Sankara karamoko wa Asec mimosas aliyekuwa na magoli 4 na assist 1, pacome zouzou mwenye magoli 3 na assist 2, Hussein shehat mwenye magoli 3 bila assist!

CAF WAMEMALIZA UBISHI WA NANI BORA KATI YA YULE NA UYU! UBORA UNAONYESHA KWENYE MATCH ZOTE NA SIO MATCH NDOGO NDOGO PEKE YAKE UKU MATCH NGUMU UJULIKANI UPO UWANJANI AMA NJE YA UWANJA!
Kuna vichwa ngumu bado wanasema chama mmoja ni pacome 10.
 
Mbona UTOPOLO mnateseka sna game ya jana? Shida ni nini?

Mbona Pacome akiwika au asiwike kwenye game sisi hatuna shida naye wala hatumzungumzii?
 
Ni mjinga tu ndo anayeweza kumfananisha Pacome na Chama.

Hata mashabiki wenyewe wa simba ukiwaekea kati ya Pacome na Chama wachague mmoja ki uhalisia hawawezi kumchagua Chama.

Pacome kila mechi anapafomu yupo katika kiwango bora kabisa.

Chama baada ya mechi ya jana ndo wanaanza kumfananisha na Pacome, kwanini isiwe mechi za nyuma?

Kwasasa huwezi kumfaninisha Chama na Pacome.

Ni kumuonea tu Chama.

Mengine yatabaki kuwa ushabiki.
 
Du aisee! yawezekana ni ujinga huu!! lkn mbona iko wazi kabisa chama ni zaidi ya. pecome... chama toka afike simba kafananishwa na makambo, kisinda, fei toto, morison, K Aziz na wengineo wengi.... sasahiv ni zam ya pecome... kesho itakuwa kwa zengeli... mpaka atapostaf atafananishwa na zaid ya wachezaj 10 wa yanga... na ili kuonyesha utofauti kaiingiza simba robo finals kwa goli 6 na kahusika na goli 5.. wakati pacome kaiingiza yanga robo kwa magoli 4 na kahusika moja kwa moja magoli 2.... chama ni bora sana tu Kuliko pacome.
 
Du aisee! yawezekana ni ujinga huu!! lkn mbona iko wazi kabisa chama ni zaidi ya. pecome... chama toka afike simba kafananishwa na makambo, kisinda, fei toto, morison, K Aziz na wengineo wengi.... sasahiv ni zam ya pecome... kesho itakuwa kwa zengeli... mpaka atapostaf atafananishwa na zaid ya wachezaj 10 wa yanga... na ili kuonyesha utofauti kaiingiza simba robo finals kwa goli 6 na kahusika na goli 5.. wakati pacome kaiingiza yanga robo kwa magoli 4 na kahusika moja kwa moja magoli 2.... chama ni bora sana tu Kuliko pacome.
Wenzenu wameuana huko kisa huu upuuzi wenu wa nani bora.
 
Alafu kuna watu Wana mufananisha na uchafu ule wa SIMBA SC.
Pale SIMBA hakuna mchezaji kwa sasa anae fikia mchezaji yoyote wa YANGA.
 
Back
Top Bottom