Pacome Zouzou achaguliwa kuwa mchezaji bora hatua ya makundi CAF champions league

Pacome Zouzou achaguliwa kuwa mchezaji bora hatua ya makundi CAF champions league

Du aisee! yawezekana ni ujinga huu!! lkn mbona iko wazi kabisa chama ni zaidi ya. pecome... chama toka afike simba kafananishwa na makambo, kisinda, fei toto, morison, K Aziz na wengineo wengi.... sasahiv ni zam ya pecome... kesho itakuwa kwa zengeli... mpaka atapostaf atafananishwa na zaid ya wachezaj 10 wa yanga... na ili kuonyesha utofauti kaiingiza simba robo finals kwa goli 6 na kahusika na goli 5.. wakati pacome kaiingiza yanga robo kwa magoli 4 na kahusika moja kwa moja magoli 2.... chama ni bora sana tu Kuliko pacome.
Nyinyi SIMBA ndo munafananisha mchezaji wenu huyo na wachezaji wa Young Africans SC.
Hakuna shabiki wa YANGA anafananisha wachezaji wa YANGA na wachezaji wa SIMBA.

Mulisema BALEKE hatari sana, mara Onana tusamehe. Hamna timu ya kushindana na YANGA.
 
Alafu kuna watu Wana mufananisha na uchafu ule wa SIMBA SC.
Pale SIMBA hakuna mchezaji kwa sasa anae fikia mchezaji yoyote wa YANGA.
Wanaweza kumlinganisha na chama labda kwakuwa chama kacheza ligi ya Tanzania kwa misimu karibu 5, but ukirudi kwenye ubora pacome kamzidi chama vitu vingi sana kiufundi, kuanzia kwenye Kasi, energy, consistency ya kuperfom kwenye Kila mechi na sio kuperfom kwenye mechi za vibonde peke yake, current performance ya pacome Iko juu sana kwa sasa na kaonyesha ayo kwenye Kila mechi anayocheza iwe kubwa ama ndogo anakiwasha!
 
Mwamba pacome zouzou amechaguliwa kuwa mchezaji Bora na caf hatua ya makundi iliyotamatika hivi karibuni!

Pacome kawamwaga wenzake baada ya kuwa na rating kubwa ya (7.99) kuliko wenzake kwenye Kila mechi ambapo ameonekana kuwa hatari kwenye match zote alizocheza!

Kachaguliwa na nani?

Mbona kurasa za CAFCL hazina hiyo post?
 
Wanaweza kumlinganisha na chama labda kwakuwa chama kacheza ligi ya Tanzania kwa misimu karibu 5, but ukirudi kwenye ubora pacome kamzidi chama vitu vingi sana kiufundi, kuanzia kwenye Kasi, energy, consistency ya kuperfom kwenye Kila mechi na sio kuperfom kwenye mechi za vibonde peke yake, current performance ya pacome Iko juu sana kwa sasa na kaonyesha ayo kwenye Kila mechi anayocheza iwe kubwa ama ndogo anakiwasha!
Upo sahihi mkuu.
Kwa sasa SIMBA wanalazimika kutusemasema YANGA ili wapate umaarufu tu kimataifa.
Tumewazidi mbali sana.
 
Mimi ni Yanga lakini nasema Simba jana wamecheza vizuri sana! Na Chama anastahili pongezi nyingi!
Pacome ni bingwa kwa sasa na Chama pia ni mzuri.
Tatizo ninaloliona Mimi kwa hapa Tanzania ni kuwa tuna Mashabiki wa mpira maandazi! Hakuna chochote wanachojua zaidi ya ushabiki wa kijinga jinga!
Timu zote Simba na Yanga ni zetu Watanzania ,Cha msingi sasa tuweke mikakati angalau timu moja au zote zitinge nusu fainali!
Ikitokea Simba na Yanga zikacheza fainali basi itakuwa bonge la mechi na tutakuwa na uhakika wa kombe la CAFCL kubaki hapa nyumbani.
Lakini kwa roho za kichawi, kijinga na umaskini wa akili kutwa nzima wapuuzi wanaojiita Mashabiki wa Simba na Yanga wanaparurana!
 
Kimsingi anastahili. Na bila shaka ni uwendawazimu kumlinganisha na yule kiungo konokono anaye onekana tu kwenye mechi dhidi ya vibonde wenzake.
 
Hayo ni matunda ya Chama

Chama akisikia hivyo anakuwa proud kuona kumbe huwa anazingatia masomo
Comment yako ni matunda ya Rage ..

Rage akisikia hivyo anakuwa proud kuona kumbe kauli yake huwa inazingatiwa ..
 
Mimi ni Yanga lakini nasema Simba jana wamecheza vizuri sana! Na Chama anastahili pongezi nyingi!
Pacome ni bingwa kwa sasa na Chama pia ni mzuri.
Tatizo ninaloliona Mimi kwa hapa Tanzania ni kuwa tuna Mashabiki wa mpira maandazi! Hakuna chochote wanachojua zaidi ya ushabiki wa kijinga jinga!
Timu zote Simba na Yanga ni zetu Watanzania ,Cha msingi sasa tuweke mikakati angalau timu moja au zote zitinge nusu fainali!
Ikitokea Simba na Yanga zikacheza fainali basi itakuwa bonge la mechi na tutakuwa na uhakika wa kombe la CAFCL kubaki hapa nyumbani.
Lakini kwa roho za kichawi, kijinga na umaskini wa akili kutwa nzima wapuuzi wanaojiita Mashabiki wa Simba na Yanga wanaparurana!
Unasema wewe ni YANGA!! alafu unasema SIMBA na YANGA zote zetu??
Kwa SIMBA na YANGA lazima uwe upande mmoja tu. Hakuna cha shabiki mandazi wala chapati. Sema tu kama wewe ni MWAKAROBO mtani.
 
Jamaa amewika game zote, yule mzee wao anayekimbia kama konokono kawika game moja tu ya jana.
Tena dhidi ya timu ambayo tayari ilikuwa inakamilisha ratiba tu bila kuwa na matumaini yoyote.
 
Tena dhidi ya timu ambayo tayari ilikuwa inakamilisha ratiba tu bila kuwa na matumaini yoyote.
255653045451_status_47e2186c05a544bba068eeec70a3c563.jpg
 
Mwamba pacome zouzou amechaguliwa kuwa mchezaji Bora na caf hatua ya makundi iliyotamatika hivi karibuni!

Pacome kawamwaga wenzake baada ya kuwa na rating kubwa ya (7.99) kuliko wenzake kwenye Kila mechi ambapo ameonekana kuwa hatari kwenye match zote alizocheza!

Amafuatiwa na mostapha shobeir wa Aly ahly aliyepata rate ya (7.93) Sankara karamoko wa Asec mimosas mwenye rate ya (7.74) Aly mahloul wa Aly ahly mwenye rate ya (7.73) aliyefungana na wonlo koulibaly wa Asec mimosas mwenye rate ya (7.73)!

Wakati huo huo vinara wa ufungaji hatua ya makundi ni Sankara karamoko wa Asec mimosas aliyekuwa na magoli 4 na assist 1, pacome zouzou mwenye magoli 3 na assist 2, Hussein shehat mwenye magoli 3 bila assist!

CAF WAMEMALIZA UBISHI WA NANI BORA KATI YA YULE NA UYU! UBORA UNAONYESHA KWENYE MATCH ZOTE NA SIO MATCH NDOGO NDOGO PEKE YAKE UKU MATCH NGUMU UJULIKANI UPO UWANJANI AMA NJE YA UWANJA!
Maelezo bila picha
 
Mbona UTOPOLO mnateseka sna game ya jana? Shida ni nini?

Mbona Pacome akiwika au asiwike kwenye game sisi hatuna shida naye wala hatumzungumzii?
Nashangaa hapo na mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom