Pacome Zwazwa anafanya vitu uwanjani ambavyo havikuwahi kufanyika katika viwanja vya Kibongo

Pacome Zwazwa anafanya vitu uwanjani ambavyo havikuwahi kufanyika katika viwanja vya Kibongo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HATA SARPONG ALIANZA HVYO HVYO
[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Umesahau kusema Hata mayele alianza hivyo
 
Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.

Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.

1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.

2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).

NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.

TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.

Huyu mwamba alikufanya nini cha tofauti?? Mbona kila mara unatutaarifu kwamba UNAMPENDA SANA…??? Kuwa muwazi mkuu, funguka tu…!!!
 
Ya ni mafundi sana kwa PROPAGANDA media..
Jambo la kawaida litakuzwa mnoooo...
 
Jamaa anafanya vitu uwanjani ambavyo havikuwahi kifanyika katika viwanja vya Kibongo.

Dah.

Anastahili uMVP hata kama ligi haijaisha.
Katika mechi ya viwango gani?

Punguza ujinga kijana, unakoelekea utakua mpumbavu.

NB:
Bongo kila mytu Ni mchambuzi! Na anaujua mpira. Bongo nyoso!
 
Back
Top Bottom