Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taasisi .Papa kateuaje wakati yuko ICU hoi hospitalini Vatican
Taasisi Inasingizia Papa kateua wakati mzee watu yuko hoi bin taabani ICU hiyo sio dhambi ya uongo?Taasisi .
Si tumeambiwa Papa yu hoi ICU?BABA MTAKATIFU FRANSISKO AMEMTEUA PADRE JOSAPHAT JACKSON BUDUDU KUWA ASKOFU MSAIDIZI JIMBO KUU KATOLIKI TABORA
Hongera sana wanajimbo Kuu Katoliki Tabora, Hongera Taifa la Tanzania kwa zawadi nzuri ya kiongozi katika Kanisa.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
.
View attachment 3250385
View attachment 3250369
Huelewi kitu uteuz hufanyika miezi nyuma Kabla ya taarifa rasm.Ndio tumegundua leo uongo uliofichika miaka mingi kuwa papa ndio anaeteua maaskofu kumbe sio ,papa yupo ICU anapambania uhai wake
Holy See is an InstitutePapa kateuaje wakati yuko ICU hoi hospitalini Vatican
Anakaribia kwenye meza kuu ya ukatoliki.
Ni sahihi kusems kateua na sahihi yake kuonekana kwenye barua kuwa ka sign wakati yuko hoi ICUHoly See is an Institute
Wapi umeiona sahihi yake kwenye barua hapo juu?Ni sahihi kusems kateua na sahihi yake kuonekana kwenye barua kuwa ka sign wakati yuko hoi ICU
Sio forgery hiyo kuonekana papa ka sign wakati haja sign yuko anapambana na maisha yake ICU?
Papa akiteua huwa ana sign wewe barua kwa muhusika weweWapi umeiona sahihi yake kwenye barua hapo juu?