Padre Josephat Jackson Bududu ateuliwa kuwa Askofu Msaidizi Jimbo Kuu la Tabora

Padre Josephat Jackson Bududu ateuliwa kuwa Askofu Msaidizi Jimbo Kuu la Tabora

Papa akiteua huwa ana sign wewe barua kwa muhusika wewe

Youtube wako maaskofu kibao hutamka hilo kuwa nilipoata barua ya uteuzi na papa ka sign nilifurahi mno na wanaeleza lazima a sign yeye

Utandawazi huu unaficha nini? Kwa mfano
Nena uzi nambari 21 kwa ufafanuzi zaidi
 
Aliteuliwa tangu muda kabla Papa hajazidiwa. Kinachofanyika sasa yeye na wenzake wote wanaopata teuzi ni utekelezaji unaofanywa na ofisi yake/wateule wake wa Vatican.

NB:
1. Nafasi ya Papa HAIKAIMIWI na mtu yeyote yule bali Papa mwenyewe hata kama atakuwa mgonjwa katika hali gani yeye pekee ndio mwenye mamlaka ya Kipapa.

2. Ukomo wa Papa hufika pindi umauti utapomfika na kutangazwa rasmi. Hapo ofisi ya Kipapa hufungwa mpaka pale Papa mpya atapochaguliwa.
Haya yote ni kwa mujibu wa sheria za Kanisa Katoliki.
 
Aliteuliwa tangu muda kabla Papa hajazidiwa. Kinachofanyika sasa yeye na wenzake wote wanaopata teuzi ni utekelezaji unaofanywa na ofisi yake/wateule wake wa Vatican.

NB:
1. Nafasi ya Papa HAIKAIMIWI na mtu yeyote yule bali Papa mwenyewe hata kama atakuwa mgonjwa katika hali gani yeye pekee ndio mwenye mamlaka ya Kipapa.

2. Ukomo wa Papa hufika pindi umauti utapomfika na kutangazwa rasmi. Hapo ofisi ya Kipapa hufungwa mpaka pale Papa mpya atapochaguliwa.
Haya yote ni kwa mujibu wa sheria za Kanisa Katoliki.
Upo sahihi na Mchakato wa kupata Askofu Msaidizi ulianza baada ya Askofu Mkuu kuwa Cardinal.
 
Papa Francis amepona lini, hadi ateue naibu askofu? Si yuko ICU anapambania uhai wake?
Mmmh
 
Leo ametangazwa tu, uteuzi umefanywa na papa kitambo huko, kanisa Lina sheria kali sana zinazoongoza michakato hii na jambo kuu linalotawala ni usiri mkubwa, kuanzia mapendekezo, machaguo (options), kuteuliwa, kutangazwa na kuwekwa wakfu, mfano ulio wazi: kati ya kutangazwa (mfano, askofu Bududu kutangazwa leo tarehe 26 Feb mpk kuwekwa wakfu - maaskofu wasaidizi hawasimikwi, sheria inatoa muda wa miezi 3) so, what if kama kati ya kuteuliwa na kutangazwa napo pia ni miezi mitatu? Ikiwa ni hivyo (mfano) Ina maana askofu mteule ameteuliwa mwaka jana mwishoni, kipindi kile Mzee alikua na Afya yake kamili gado anasafiri toka nchi hii kwenda Ile, bara hili na lile na kufungua malango ya makanisa makuu kuashiria jubilee ya miaka 2025 ya ukatoliki duniani.... Hongera askofu Bududu (PhD Christian spirituality), Hongereni nyuki wa Tabora.
 
Nalipongeza kanisa katoliki kwa utaratibu wa kuchagua maaskofu wanaotoka kwenye eneo husika tofauti na KKKT.
Hivi unajielewa wewe? Huo ukatoliki wenyewe huujui
Askofu wa jimbo mkuu la Tabora Askofu Rugambwa anatoka Tabora? Ni Mnyamwezi?

Askofu wa jimbo kuu la Dar es salaam Askofu Ruwaichi anatoka Dar es salaam? Ni mzaramo?
 
BABA MTAKATIFU FRANSISKO AMEMTEUA PADRE JOSAPHAT JACKSON BUDUDU KUWA ASKOFU MSAIDIZI JIMBO KUU KATOLIKI TABORA

Hongera sana wanajimbo Kuu Katoliki Tabora, Hongera Taifa la Tanzania kwa zawadi nzuri ya kiongozi katika Kanisa.
๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
.
View attachment 3250385


View attachment 3250369
Hongera kwake.Hongera TEC.Ikawe heri na baraka.
 
Back
Top Bottom