Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Unaweza hisi anatania ukweli unauma. Padre mmoja leo amekumbusha watu.
Mmekuwa waguumu kuimba misibani, najua hizi nyimbo hatuimbi mara kwa mara, kwakuwa ziko vitabuni na mnazijua muwe mnajikumbusha kuimba na familia mkija msianze kuangaliana.
Msisubiri ufikwe na msiba, hapa watu 2kagunaa mmmmh yamekuwa hayo? Ukweli ndio huo, mjtahidi kufanya mazoezi kwenu jamani.
rip all
Mmekuwa waguumu kuimba misibani, najua hizi nyimbo hatuimbi mara kwa mara, kwakuwa ziko vitabuni na mnazijua muwe mnajikumbusha kuimba na familia mkija msianze kuangaliana.
Msisubiri ufikwe na msiba, hapa watu 2kagunaa mmmmh yamekuwa hayo? Ukweli ndio huo, mjtahidi kufanya mazoezi kwenu jamani.
rip all