Sahihi,kuna nchi kibao hazina CardinalsKuongezea hapo, ni kwamba si lazima awe Kardinali, na wala si lazima Tanzania au kila nchi iwe na Kardinali, na si lazima nchi moja itoe Kardinali mmoja tu
Ruwaichi Kardinali? Nijuavyo Ruwaichi ni Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar na sio KardinaliHii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
Nimeelewa, lakini kwa nini barua ya kumfukuza padri iwe 'addressed' kwa Polycarp Kardinali Penge badala ya kwenda kwa Rais wa TEC maana cheo cha kardinali si cheo cha kimadaraka/kiutawala badala ya kwenda kwa Rais wa TEC, ambayo ndiyo imesajiliiwa kama 'overseer' wa Kaniisa Katoliki Tanzania? Bado natafakari kama ni waraka unaotoka kwenye vyanzao sahihi au umepikwa.Aisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM
View attachment 1523939
Hugo padre mjinga sana. Anakula bure analelewa ila hajaridhika.Aisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM
View attachment 1523939
Papa Benedict pia yalimshinda akaamua aingie mitiniMbona barua inasema aliacha kazi kwa hiari yake mwenyewe. Habari ya kufukuzwa inakuja vipi. Mara nyingine muache kujitoa ufahamu nyie nyumbu. Hiyo kimsingi ni barua ya taarifa na kuthibitisha jamaa kuacha kazi. Pia kila mty anao uhuru wa kuishi atakavyo. Hata kadinali anaweza kuamua kubadilisha mwelekeo wa maisha yake.
Kwa wakatoliki hamna kuacha kwa hiari kazi ya upadre kwa sababu upadre sio kazi bali ni wito. Unachotakiwa kufanya ni kumuomba Pope Francis akuruhusu uachane na upadri wako. Aidha, hata askofu hawezi kumnyang'anya upadri ndio maana amemsimamisha kutoa huduma za upadri. Ikishindikana basi watamuomba Papa amuondoe katika ukatoliki ( excommunicate). Kuna yule Askofu Milingo wa Zambia alipoamua kuoa kwa mara ya kwanza alipewa muda wa kutafakari na alipokiri kuwa alikosea, alisamehewa na kupokelewa tena kundini. Lakini alipomrudia mke wake kwa mara ya pili amekuwa excommunicated.Mbona barua inasema aliacha kazi kwa hiari yake mwenyewe. Habari ya kufukuzwa inakuja vipi. Mara nyingine muache kujitoa ufahamu nyie nyumbu. Hiyo kimsingi ni barua ya taarifa na kuthibitisha jamaa kuacha kazi. Pia kila mty anao uhuru wa kuishi atakavyo. Hata kadinali anaweza kuamua kubadilisha mwelekeo wa maisha yake.
Papa Benedict XVI hajaingia mitini. Ni Papa Emeritus na anaishi Vatican. Aliachia ngazi kutokana na umri wake kuwa mkubwa.Papa Benedict pia yalimshinda akaamua aingie mitini
Aisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM
View attachment 1523939
Mi naona barua ya kuacha kazi ili akagonge vzr mizigoAisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM
View attachment 1523939
Aisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM
View attachment 1523939
Unaweza kuta alikuwa TISS sasa ametafuta mlango wa kutokea.
Sio ukoloni. Ndio utaratibu.Kanisa katoliki lipunguze ukoloni .
Hazikutoshi kweli wewe! kwani kuwa na no ya simu ndio kupatikana?? umeambiwa hana makazi maalum hata hiyo barua wameshindwa wampate wapi kijiji gani, kata gani au tarafa ipi.Usilinganishe Masheikhe na vitu vya kipumbavu. We unaamini aliyeandika barua ameshirikisha ubongo wake mtu hajulikan halipo alaf anagombea, Ameandika barua ya kuacha kazi alaf Ameachishwa upadre anaandikiwa barua ili wawasiliane. Askofu anakosa namba ya Padre wake , anakosa email ya Padre wake
Ni kweli kabisa ndio maana watu Kama wakina Membe walibahatika na ndani ya kanisa hicho kitengo Cha makachero ndio kinaitwa JesuitKanisa Katoliki ni Baba wa ujasusi
Kuna mapadre wako fit sana kwenye hilo
Pia TISS huchukua Sana wanaseminari maana maisha ya seminari ni kama maisha ya kwenye Academy ya ujasusii
Mtu aliyepita seminari hadi advamce ana nafasi kubwa sana kuingia TISS
Sio umri, aliona asiendelee na uzushi akajikataaPapa Benedict XVI hajaingia mitini. Ni Papa Emeritus na anaishi Vatican. Aliachia ngazi kutokana na umri wake kuwa mkubwa.
Amandla...
Yeye anataka abadili misikiti kwenye jimbo lakeGwajima anatumia Biblia ipi?
Mzee wa TotosJe, tapeli gwajima atajifukuza mwenyewe?
Kwa kuwa anaipenda ccm kuitumikia kuliko Mungu mpeni ubunge hata wa Viti MaalumuMbona barua inasema aliacha kazi kwa hiari yake mwenyewe. Habari ya kufukuzwa inakuja vipi. Mara nyingine muache kujitoa ufahamu nyie nyumbu. Hiyo kimsingi ni barua ya taarifa na kuthibitisha jamaa kuacha kazi.
Pia kila mty anao uhuru wa kuishi atakavyo. Hata kadinali anaweza kuamua kubadilisha mwelekeo wa maisha yake.