Chanzo kikubwa ni hawa wanawake wenye midomo mirefu, hawana adabu, hawana staha, sio avumilivu, sio waelewa, wana papara, wana viherehere, wakikutana na checkbob nae yuko nguli ndoa hapo ni ya kuhesabu sikuNdoa za siku hizi bwana!
Kuna staff mwenzangu wamefunga ndoa 30/7/2017 ila hivi ninavyo andika hii comment wameshatengana na wako kwenye kesi ya kugawana mali!
Naam, ndoa ni ujasiriamali kama yalivyogeuka makanisa. Inatakiwa hekima ya kimungunkumpata mtu sahihi na wewe pia kuwa mwanamume sahihiNdoa za siku hizi bwana!
Kuna staff mwenzangu wamefunga ndoa 30/7/2017 ila hivi ninavyo andika hii comment wameshatengana na wako kwenye kesi ya kugawana mali!
Hawa wanawake wa siku uwapige hata uwatishie kiwapiga unafikiri ukirudi utamkuta nyumbani?Wanaume wengi hawajui nguvu walizopewa na Mungu kumdhibiti na kumtiisha mwanamke! Wanaume wamekuwa kama wanawake na wanawake wamewapanda wanaume vichwani na kuendesha familia/ndoa sasa utegemee nini? Eti siku hizi mwanaume anapigwa na mwanamke! Duhhhh????
Kwa nini mkuu na wakati nao walipewa tu hayo majina?Watu wenye majina yasiyo ya asili waogope saana.
Mtu anajiitaje Veronika Peter...
Sijui Emmanuel Joseph.
Arnold Gerald.
Kumtisha unaishi na partner au mfungwa....Wanaume wengi hawajui nguvu walizopewa na Mungu kumdhibiti na kumtiisha mwanamke! Wanaume wamekuwa kama wanawake na wanawake wamewapanda wanaume vichwani na kuendesha familia/ndoa sasa utegemee nini? Eti siku hizi mwanaume anapigwa na mwanamke! Duhhhh????
Hao wa fesibuku sio waoaji mara nyingi wanaonja wanasepa.Hawa wanawake wa siku uwapige hata uwatishie kiwapiga unafikiri ukirudi utamkuta nyumbani?
Wakati kuna njemba kama 100 zinambembeleza inbox ya facebook.
Sasa usikute mzazi wake uyo mwanamke nae ni andunje piaTatizo la stamina ni andunje.
Inawezekana yule mwanamke hapendi watu wafupi.