TANZIA Padri aliyemwagiwa tindikali 2013 Zanzibar afariki

TANZIA Padri aliyemwagiwa tindikali 2013 Zanzibar afariki

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Anselmo Mwang’amba amefariki dunia Februari 27, 2025 kisiwani Zanzibar.

1740753902906.png
Taarifa iliyotolewa na Askofu wa jimbo hilo, Agustino Shao imesema mipango ya mazishi inaendelea.

“Roho ya padri Anselmo Mwanga’mba ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Februari 28, 2025, Katibu Mkuu wa Jimbo hilo, Padri Cosmas Shayo amesema wapo kwenye vikao vya mazishi.

1740753998313.png
Itakumbukwa mwaka Septemba 2013, Padri Mwang’amba alimwagiwa tindikali na kulazwa katika Hospitali ya Mnazimmoja kisha kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Tukio hilo lilitokea katika Mtaa wa Mlandege Mkoa wa Mjini Magharibi na kujeruhiwa usoni, kifuani na mkononi.
 
Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Anselmo Mwang’amba amefariki dunia Februari 27, 2025 kisiwani Zanzibar.

Taarifa iliyotolewa na Askofu wa jimbo hilo, Agustino Shao imesema mipango ya mazishi inaendelea.

“Roho ya padri Anselmo Mwanga’mba ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Februari 28, 2025, Katibu Mkuu wa Jimbo hilo, Padri Cosmas Shayo amesema wapo kwenye vikao vya mazishi.

Itakumbukwa mwaka Septemba 2013, Padri Mwang’amba alimwagiwa tindikali na kulazwa katika Hospitali ya Mnazimmoja kisha kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Tukio hilo lilitokea katika Mtaa wa Mlandege Mkoa wa Mjini Magharibi na kujeruhiwa usoni, kifuani na mkononi.
Kwa hiyo Chanzo Cha kifo ni hiyo tindiksli!?
 
Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Anselmo Mwang’amba amefariki dunia Februari 27, 2025 kisiwani Zanzibar.

Taarifa iliyotolewa na Askofu wa jimbo hilo, Agustino Shao imesema mipango ya mazishi inaendelea.

“Roho ya padri Anselmo Mwanga’mba ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Februari 28, 2025, Katibu Mkuu wa Jimbo hilo, Padri Cosmas Shayo amesema wapo kwenye vikao vya mazishi.

Itakumbukwa mwaka Septemba 2013, Padri Mwang’amba alimwagiwa tindikali na kulazwa katika Hospitali ya Mnazimmoja kisha kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Tukio hilo lilitokea katika Mtaa wa Mlandege Mkoa wa Mjini Magharibi na kujeruhiwa usoni, kifuani na mkononi.
Acheni uchochezi kwani miaka zaidi ya 12 bado wimbo ndo huo huo, kwani alikua imotor kwamba sio wa kufa?
 
Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Anselmo Mwang’amba amefariki dunia Februari 27, 2025 kisiwani Zanzibar.

Taarifa iliyotolewa na Askofu wa jimbo hilo, Agustino Shao imesema mipango ya mazishi inaendelea.

“Roho ya padri Anselmo Mwanga’mba ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Februari 28, 2025, Katibu Mkuu wa Jimbo hilo, Padri Cosmas Shayo amesema wapo kwenye vikao vya mazishi.

Itakumbukwa mwaka Septemba 2013, Padri Mwang’amba alimwagiwa tindikali na kulazwa katika Hospitali ya Mnazimmoja kisha kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Tukio hilo lilitokea katika Mtaa wa Mlandege Mkoa wa Mjini Magharibi na kujeruhiwa usoni, kifuani na mkononi.
Apumzike kwa Amani!
 
Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Anselmo Mwang’amba amefariki dunia Februari 27, 2025 kisiwani Zanzibar.

Taarifa iliyotolewa na Askofu wa jimbo hilo, Agustino Shao imesema mipango ya mazishi inaendelea.

“Roho ya padri Anselmo Mwanga’mba ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Februari 28, 2025, Katibu Mkuu wa Jimbo hilo, Padri Cosmas Shayo amesema wapo kwenye vikao vya mazishi.

Itakumbukwa mwaka Septemba 2013, Padri Mwang’amba alimwagiwa tindikali na kulazwa katika Hospitali ya Mnazimmoja kisha kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Tukio hilo lilitokea katika Mtaa wa Mlandege Mkoa wa Mjini Magharibi na kujeruhiwa usoni, kifuani na mkononi.
Imani ameipigania.. Mwendo ameumaliza.. Akapumzike kwa amani
 
Back
Top Bottom