Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio uchochezi unguja wanauislamu wa kizamani sana wanajiona wema sana kama Mtume angekua kama wao basi sidhan kama uislamu ungekuwepo.Acheni uchochezi kwani miaka zaidi ya 12 bado wimbo ndo huo huo, kwani alikua imotor kwamba sio wa kufa?
Usikute walikuwa wanagombea maslai ya kikanisa,kuna maslai sana kwenye haya makanisa yetu sisi wakristoKATI YA UTAPELI MKUU KUWAHI TOKEA HAPA DUNIANI NI ITIKADI KALI NA WAFUASI WAKE.
Wapi kuna uchochezi? Hii ni history, mwandishi kasema padri aliyemwagiwa tindikali afariki, hàjasema tindikali yamuua padri.Acheni uchochezi kwani miaka zaidi ya 12 bado wimbo ndo huo huo, kwani alikua imotor kwamba sio wa kufa?
Wewe mpumbavu sana, uamsho mnataka kujitoa ufahamu kwa ushenzi wenu mlioufanya kwa watu wasio wa dini yenu?Usikute walikuwa wanagombea maslai ya kikanisa,kuna maslai sana kwenye haya makanisa yetu sisi wakristo
Bila vita waislam hawawezi kuishi 😂
UnalombwaUsikute walikuwa wanagombea maslai ya kikanisa,kuna maslai sana kwenye haya makanisa yetu sisi wakristo
Mkuu izo taasisi zina miradi mingi wanapigana hadi juju na kufanyiana umafia mkubwa sana, we mbulula uwezi kujua zaidi ya kupayuka,mi mkristo nayajua hayoWewe mpumbavu sana, uamsho mnataka kujitoa ufahamu kwa ushenzi wenu mlioufanya kwa watu wasio wa dini yenu?
Eti wakristo wanagombea maslahi, punguani mmoja wee.
Mwenzake alipigwa risasi ndani ya kanisa na kufariki, huo ndiyo ungekuwa uchochezi mkubwa endapo angepigwa shehe.Acheni uchochezi kwani miaka zaidi ya 12 bado wimbo ndo huo huo, kwani alikua imotor kwamba sio wa kufa?
Kama huelewi kilichosababisha padri huyo kumwagiwa tiñdikali sema tukueleweshe. Sheikh Farid na kundi lake la uamsho hawakuwa wakristo. Unaoneka aidha hujui kilichotokea au wewe ulikuwa mwamsho wakàti ule sàsa unajaribu kupotosha wasiojua.Mkuu izo taasisi zina miradi mingi wanapigana hadi juju na kufanyiana umafia mkubwa sana, we mbulula uwezi kujua zaidi ya kupayuka,mi mkristo nayajua hayo
Mi najua zaidi yako,hao ni ugomvi wao wa kimaslai ulikuwaKama huelewi kilichosababisha padri huyo kumwagiwa tiñdikali sema tukueleweshe. Sheikh Farid na kundi lake la uamsho hawakuwa wakristo. Unaoneka aidha hujui kilichotokea au wewe ulikuwa mwamsho wakàti ule sàsa unajaribu kupotosha wasiojua.
Tulia uagize mdudu ww mfungo unakaribia shauri yakoAcheni uchochezi kwani miaka zaidi ya 12 bado wimbo ndo huo huo, kwani alikua imotor kwamba sio wa kufa?