TANZIA Padri Bonaventuta Kisamaka afariki dunia

Alikuwa ni padri mmoja noma sana! Kila siku misa ya asubuhi ni saa tisa kamili usiku, ukichelewa hata dakika moja anakufungia nje halafu adhabu yake unapaswa ukachote mchanga wa ujenzi mtoni debe mia!
Kisa kusali tu..dini! Lol
 
Tulikuwa tunapambana na chui sana.Imagine Misa inaanza saa tisa kamili usiku halafu kanisa lipo umbali wa 5Km na tunatembea kwa miguu vijijini huko!
mlikuwa mnateseka sana,hapakuwa na kanisa lingine zaidi ya hilo?
 
Itabidi ibada isimamishwe kwa muda, mapadre wetu wanaisha
 
Maji tiririka na sabuni vinasaidia sana. Kiufupi usafi wa mwili
 
Kanisa katoliki Ni taasisi kongwe,iko organized vzr kuliko vinchi vingi vya dunia ya 3,inakubali vp kupoteza watumishi wake wengi kiasi hiki kwa uzembe wa watu wachache wenye madaraka?? Kama hapa chanjo haiingii,si waende Vatican wakachanjiwe kule kwa Hawa watumishi ili kuwalinda??au wanaogopa mkwara ??

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Huyu padri alikuwaga kiboko! Nakumbuka sikuwahi kupata kipaimara hadi leo kwa sababu ya huyu Mzee.
Pole sn kumbe ulikumbana na kibano chake!
Ht wengi waliokua wachawi walipata kibano pia.
 
Alikuwa ni padri mmoja noma sana! Kila siku misa ya asubuhi ni saa tisa kamili usiku, ukichelewa hata dakika moja anakufungia nje halafu adhabu yake unapaswa ukachote mchanga wa ujenzi mtoni debe mia!
Kwa jinsi ulivyokuwa nunda ww lazima ulibeba mchanga wa kujenga chuo kizima
 
Inawezena watu wanakufa lkn hawatangazi
Nimejaribu kuuliza waumini wanasema hakuna corona kule, wengi wanaohudhuria ni wenye magonjwa mbalimbali na wanapokea uponyaji. Imani kitu kikubwa sana Demi
 
Kanisa limezuiwa kutangaza vifo kwa amri ya Mfalme, au huyo Baba Askofu haogopi amri ya Mfalme?
 
Nimejaribu kuuliza waumini wanasema hakuna corona kule, wengi wanaohudhuria ni wenye magonjwa mbalimbali na wanapokea uponyaji. Imani kitu kikubwa sana Demi
Ni kweli my dear.
 
Nimejaribu kuuliza waumini wanasema hakuna corona kule, wengi wanaohudhuria ni wenye magonjwa mbalimbali na wanapokea uponyaji. Imani kitu kikubwa sana Demi
Samahani mama D;
Kwani mama Rwakatare hakuwa na imani kiasi hicho?
 
Samahani mama D;
Kwani mama Rwakatare hakuwa na imani kiasi hicho?

Kipimo cha imani zetu anakijua Mungu tuu

Kwa waamini wa uwepo wa Mungu miaka yetu ya kuishi anayo yeye muumba iwe ni kwa corona, malaria, presha, sukari, ajali au hata bila ugonjwa. Hakuna cha kuuondoa uhai wetu bila Mungu kuachilia kibali, na kibali kinategemea na uaminifu wetu kwake na moyo wa toba.... kama kweli tunaanza nae na kumaliza nae Mwenye enzi.

Mama yetu Gertrude alitwaliwa katika 70 yake na tunaendelea kumshukuru Mungu kwaajili ya uhai wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…