Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Barikiwa mno. Watakufa mmoja baada ya mwingine. Lissu damu yake inaita badoWewe ni mmoja ya kikosi kazi mlichotaka kumuua Lissu kwa kumchapa risasi na hatimaye Mungu kumuokoa.
Bado umejaa na hasira kuu ya kukosa kunywa damu yake uwaridhishe mabwana wako.
Hakika muda utaongea, mtatafutana hadi muingie nyavuni.!
Mkuu naona umekuja kushiriki Msiba wa Sadist Jiwe.Daaah, pumzika kwa amani father Mgimwa!
Hayo ni matokeo ya kuwa na miungu mtu na kuitukuza. Ukandamizaji na udikteta. Mungu ambariki prof wa OUT. Aishi miaka mingi ili ashuhudie wale waliombeza wakifyekwa na Covid 19 wote kabisa. Lete mvinyo... kiungwana Serikali inatakiwa imwombe radhi yule VC wa OUT Prof. Bisanda aliyewaomba jumuiya ya OUT kuchukua tahadhari dhidi ya COVID-19! MATAGA walimzodoa sana yule Profesa; nadhani huko aliko anajisemea "unaona sasa". Kwa hakika huongo ni wa kitambo ila ukweli hudumu milele!