TANZIA Padri Constantine Santo Waporukwa Mlezi wa Star High School(Arusha) Afariki Dunia Kwa changamoto ya upumuaji

Torch

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
1,200
Reaction score
1,121
Chanzo changamoto ya upumuaji.
R.I.P kwa jumuiya ya shirika la Mitume wa YESU.. Na shule ya sekondari Star High School

 
Kafa tarehe 9 January, ila katangazwa tarehe 10 February.

Kwanini ametangazwa mwezi mmoja baada ya kifo?
 
Bado kuna mtumishi 'fake' anahubiri tusifuate ushauri wa kukaa mbali-mbali hasa ktika mikusanyiko, he's mad !

Sijui kwa nini hii 'niumonia' haitembelei chamwino kwa hao wapiga tantalila!
 
Bado kuna mtumishi 'fake' anahubiri tusifuate ushauri wa kukaa mbali-mbali hasa ktika mikusanyiko, he's mad !

Sijui kwa nini hii 'niumonia' haitembelei chamwino kwa hao wapiga tantalila!
Huyo mhuni tu,anajua atakosa sadaka kwake

Ova
 
RIP,,poleni kwa msiba,kila nafsi itaonja mauti...
 
Kafa tarehe 9 January, ila katangazwa tarehe 10 February.

Kwanini ametangazwa mwezi mmoja baada ya kifo?
Nadhani ni typing error hapo juu. Ukisoma tangazo kwa ndani kafariki February 9.

RIP padre. Ni kipindi ambacho tunatakiwa kuchukuwa tahadhari sana waungwana. Sana tena.
 
Nadhani ni typing error hapo juu. Ukisoma tangazo kwa ndani kafariki February 9.......

RIP padre. Ni kipindi ambacho tunatakiwa kuchukuwa tahadhari sana waungwana. Sana tena.

Tangazo linasema January 9.

Anyway, poleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…