Padri Kitima: Msaidieni ndugu yenu Tundu Lissu. Demokrasia ina gharama zake

Padri Kitima: Msaidieni ndugu yenu Tundu Lissu. Demokrasia ina gharama zake

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
My Take: Hii Kauli inatuma ujumbe Fulani ,wajuzi watujuze.

Moja ya tukio lililovuta hisia za washiriki wa kilele cha Kongamano la tano la Ekaristi Takatifu la Kanisa Katoliki ni hili la wanasiasa wa CCM na Chadema kuwa pamoja.

Kilele hicho kimefanyika leo Jumapili, Septemba 15, 2024 katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.

Maaskofu zaidi ya 20, Mapadri, watawa wa kiume na kike wameshiriki. Mgeni maalumu akiwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko.

Utambulisho uliofanywa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima uliibua shangwe na furaha. Ni baada ya kuwaita madhabahuni, makatibu wakuu, Dk Emmanuel Nchimbi (CCM), John Mnyika (Chadema) na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu.

Dk Nchimbi, Lissu walikuwa wamekaa eneo moja, kuna wakati walionekana wakizungumza.

Waliposimama, Dk Nchimbi na Mnyika waliokuwa mbalimbali, walisogeleana, wakasalimiana na kisha wakakumbatiana kwa tabasamu kisha wakaenda kupanda madhabahuni.

Wakati wakipanda madhabahuni, Padri Kitima akawaeleza Mnyika na Dk Nchimbi: "Msaidieni ndugu yenu Tundu Lissu, demokrasia ina gharama zake, tumesema udugu kuponya ulimwengu nyinyi nyote ni ndugu si mnaona nguvu ya ekaristi."

Msingi wa kauli hiyo ya Padri Kitima akiwataka Mnyika na Dk Nchimbi kumsaidia Lissu ni kutokana na majeraha aliyoyapata Septemba 7, 2017 baada ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 na 16 zikimpata mwilini, hivyo kusababisha atembee kwa tabu na kupata shida kupanda ngazi za madhabahu.

Soma Pia: Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dkt. Charles Kitima

Snapinsta.app_459466118_496355413287281_2711476294302536010_n_1080.jpg
 
My Take: Hii Kauli inatuma ujumbe Fulani ,wajuzi watujuze.

Moja ya tukio lililovuta hisia za washiriki wa kilele cha Kongamano la tano la Ekaristi Takatifu la Kanisa Katoliki ni hili la wanasiasa wa CCM na Chadema kuwa pamoja.

Kilele hicho kimefanyika leo Jumapili, Septemba 15, 2024 katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.

Maaskofu zaidi ya 20, Mapadri, watawa wa kiume na kike wameshiriki. Mgeni maalumu akiwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko.

Utambulisho uliofanywa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima uliibua shangwe na furaha. Ni baada ya kuwaita madhabahuni, makatibu wakuu, Dk Emmanuel Nchimbi (CCM), John Mnyika (Chadema) na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu.

Dk Nchimbi, Lissu walikuwa wamekaa eneo moja, kuna wakati walionekana wakizungumza.

Waliposimama, Dk Nchimbi na Mnyika waliokuwa mbalimbali, walisogeleana, wakasalimiana na kisha wakakumbatiana kwa tabasamu kisha wakaenda kupanda madhabahuni.

Wakati wakipanda madhabahuni, Padri Kitima akawaeleza Mnyika na Dk Nchimbi: "Msaidieni ndugu yenu Tundu Lissu, demokrasia ina gharama zake, tumesema udugu kuponya ulimwengu nyinyi nyote ni ndugu si mnaona nguvu ya ekaristi."

Msingi wa kauli hiyo ya Padri Kitima akiwataka Mnyika na Dk Nchimbi kumsaidia Lissu ni kutokana na majeraha aliyoyapata Septemba 7, 2017 baada ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 na 16 zikimpata mwilini, hivyo kusababisha atembee kwa tabu na kupata shida kupanda ngazi za madhabahu.

Soma Pia: Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dkt. Charles Kitima

SAMIA MUST GO
 
My Take: Hii Kauli inatuma ujumbe Fulani ,wajuzi watujuze.

Moja ya tukio lililovuta hisia za washiriki wa kilele cha Kongamano la tano la Ekaristi Takatifu la Kanisa Katoliki ni hili la wanasiasa wa CCM na Chadema kuwa pamoja.

Kilele hicho kimefanyika leo Jumapili, Septemba 15, 2024 katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.

Maaskofu zaidi ya 20, Mapadri, watawa wa kiume na kike wameshiriki. Mgeni maalumu akiwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko.

Utambulisho uliofanywa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima uliibua shangwe na furaha. Ni baada ya kuwaita madhabahuni, makatibu wakuu, Dk Emmanuel Nchimbi (CCM), John Mnyika (Chadema) na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu.

Dk Nchimbi, Lissu walikuwa wamekaa eneo moja, kuna wakati walionekana wakizungumza.

Waliposimama, Dk Nchimbi na Mnyika waliokuwa mbalimbali, walisogeleana, wakasalimiana na kisha wakakumbatiana kwa tabasamu kisha wakaenda kupanda madhabahuni.

Wakati wakipanda madhabahuni, Padri Kitima akawaeleza Mnyika na Dk Nchimbi: "Msaidieni ndugu yenu Tundu Lissu, demokrasia ina gharama zake, tumesema udugu kuponya ulimwengu nyinyi nyote ni ndugu si mnaona nguvu ya ekaristi."

Msingi wa kauli hiyo ya Padri Kitima akiwataka Mnyika na Dk Nchimbi kumsaidia Lissu ni kutokana na majeraha aliyoyapata Septemba 7, 2017 baada ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 na 16 zikimpata mwilini, hivyo kusababisha atembee kwa tabu na kupata shida kupanda ngazi za madhabahu.

Soma Pia: Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dkt. Charles Kitima

TUNAWEZA KUTENGENEZA COALITION GOVERNMENT
 
My Take: Hii Kauli inatuma ujumbe Fulani ,wajuzi watujuze.

Moja ya tukio lililovuta hisia za washiriki wa kilele cha Kongamano la tano la Ekaristi Takatifu la Kanisa Katoliki ni hili la wanasiasa wa CCM na Chadema kuwa pamoja.

Kilele hicho kimefanyika leo Jumapili, Septemba 15, 2024 katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.

Maaskofu zaidi ya 20, Mapadri, watawa wa kiume na kike wameshiriki. Mgeni maalumu akiwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko.

Utambulisho uliofanywa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima uliibua shangwe na furaha. Ni baada ya kuwaita madhabahuni, makatibu wakuu, Dk Emmanuel Nchimbi (CCM), John Mnyika (Chadema) na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu.

Dk Nchimbi, Lissu walikuwa wamekaa eneo moja, kuna wakati walionekana wakizungumza.

Waliposimama, Dk Nchimbi na Mnyika waliokuwa mbalimbali, walisogeleana, wakasalimiana na kisha wakakumbatiana kwa tabasamu kisha wakaenda kupanda madhabahuni.

Wakati wakipanda madhabahuni, Padri Kitima akawaeleza Mnyika na Dk Nchimbi: "Msaidieni ndugu yenu Tundu Lissu, demokrasia ina gharama zake, tumesema udugu kuponya ulimwengu nyinyi nyote ni ndugu si mnaona nguvu ya ekaristi."

Msingi wa kauli hiyo ya Padri Kitima akiwataka Mnyika na Dk Nchimbi kumsaidia Lissu ni kutokana na majeraha aliyoyapata Septemba 7, 2017 baada ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 na 16 zikimpata mwilini, hivyo kusababisha atembee kwa tabu na kupata shida kupanda ngazi za madhabahu.

Soma Pia: Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dkt. Charles Kitima

Aisee!
 
My Take: Hii Kauli inatuma ujumbe Fulani ,wajuzi watujuze.

Moja ya tukio lililovuta hisia za washiriki wa kilele cha Kongamano la tano la Ekaristi Takatifu la Kanisa Katoliki ni hili la wanasiasa wa CCM na Chadema kuwa pamoja.

Kilele hicho kimefanyika leo Jumapili, Septemba 15, 2024 katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.

Maaskofu zaidi ya 20, Mapadri, watawa wa kiume na kike wameshiriki. Mgeni maalumu akiwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko.

Utambulisho uliofanywa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima uliibua shangwe na furaha. Ni baada ya kuwaita madhabahuni, makatibu wakuu, Dk Emmanuel Nchimbi (CCM), John Mnyika (Chadema) na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu.

Dk Nchimbi, Lissu walikuwa wamekaa eneo moja, kuna wakati walionekana wakizungumza.

Waliposimama, Dk Nchimbi na Mnyika waliokuwa mbalimbali, walisogeleana, wakasalimiana na kisha wakakumbatiana kwa tabasamu kisha wakaenda kupanda madhabahuni.

Wakati wakipanda madhabahuni, Padri Kitima akawaeleza Mnyika na Dk Nchimbi: "Msaidieni ndugu yenu Tundu Lissu, demokrasia ina gharama zake, tumesema udugu kuponya ulimwengu nyinyi nyote ni ndugu si mnaona nguvu ya ekaristi."

Msingi wa kauli hiyo ya Padri Kitima akiwataka Mnyika na Dk Nchimbi kumsaidia Lissu ni kutokana na majeraha aliyoyapata Septemba 7, 2017 baada ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 na 16 zikimpata mwilini, hivyo kusababisha atembee kwa tabu na kupata shida kupanda ngazi za madhabahu.

Soma Pia: Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dkt. Charles Kitima


Majina ya waliolipa gharama hizo wakiwamo kina mzee Kibao, yataandikwa kwa wino wa dhahabu kwenye kitabu cha mashujaa halisi wa nchi hii.
 
ChoiceVariable wewe umeelewaje kauli hiyo ya padre Dkt Kitima? Inaweza kumaanisha vyovyote vile. Wewe umeelewa vipi? Wamsaidie kupanda jukwaani sababu ya yeye kuwa mlemavu au wamsaidie kifedha? Lissu kupigwa risasi ndio gharama ya demokrasia yenyewe na pengine padre Kitima alimaanisha kuwa majanga yaliyomkuta Lissu ndio gharama yenyewe na hivyo asikate tamaa.
 
Majina ya waliolipa gharama hizo wakiwamo kina mzee Kibao, yataandikwa kwa wino wa dhahabu kwenye kitabu cha mashujaa halisi wa nchi hii.
Hicho kitabu mtachapisha lini? 😆😆
 
Watakichapisha watakaobaki hata kama nasi tutakuwa sehemu ya walipaji kabla ya ukombozi.
Mumeshapoteza pambano,washindi ndio wanaandika historia sio losers.

Waafrika hawana Historia Yao , utamaduni Wala dini zao Kwa sababu walipoteza pambano Kwa Wazungu na Waarabu
 
Back
Top Bottom