The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Katibu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania (TEC) Padri Dkt. Charles Kitima ameendelea kusisitiza kuwa viongozi wa dini hawawezi kutenganishwa na siasa kwani viongozi hao kuiweka siasa pembeni ni kutokuelewa majukumu ya msingi kama viongozi wa dini.
Akizungumza mkoani Kilimanjaro amesema kinachofanya viongozi hao kuingia katika siasa ni kupeleka tunu walizokabidhiwa na mwenyezi Mungu kutoka kwenye biblia na Quaran huku akisisitiza kuwa siasa zote zilianza katika madhehebu.
Soma pia: Father Kitima: Wizi wa kura ni dhambi, Viongozi wa dini mmekaa kimya!
Video: Jambo TV
Akizungumza mkoani Kilimanjaro amesema kinachofanya viongozi hao kuingia katika siasa ni kupeleka tunu walizokabidhiwa na mwenyezi Mungu kutoka kwenye biblia na Quaran huku akisisitiza kuwa siasa zote zilianza katika madhehebu.
Soma pia: Father Kitima: Wizi wa kura ni dhambi, Viongozi wa dini mmekaa kimya!
Video: Jambo TV