Pre GE2025 Padri Silvio Mnyifuna, ataka 2025 Samia aendelee ili wahuni wasipate nafasi

Pre GE2025 Padri Silvio Mnyifuna, ataka 2025 Samia aendelee ili wahuni wasipate nafasi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Huyu ni Padri huko jimbo Katoliki,Mafinga, Iringa....Kwa sasa nyota ya SSH haishikiki, inakimbia kwa kasi ya mwanga au sauti. Si kwa wananchi wa kawaida, walimu na kila kada, kila kona ni Samia, sasa kishindo cha Samia kimefika katika kanisa katoliki.

Watumishi wa Mungu ni moja kati ya watu wenye maono ambayo huonyeshwa na Mungu, na ujumbe wake si wa kudharau.

Samia Suluhu Hassan, NaHapaipoMitanoTena.

Screenshot_20240328-075756.jpg
FB_IMG_1711601821958.jpg
 
Endeleeni tu kumpigia chapuo huku ukweli mkiwa mnaufahamu fika. Hadi ikifika 2030 mtajikuta wengi wenu tayari ni watumwa kamili wa Waarabu, Wahindi na Wachina kwa mara nyingine tena.

Maana dalili zote zinaonekana.
 
Huyu ni Padri huko jimbo Katoliki,Mafinga, Iringa....Kwa sasa nyota ya SSH haishikiki, inakimbia kwa kasi ya mwanga au sauti. Si kwa wananchi wa kawaida, walimu na kila kada, kila kona ni Samia, sasa kishindo cha Samia kimefika katika kanisa katoliki.

Watumishi wa Mungu ni moja kati ya watu wenye maono ambayo huonyeshwa na Mungu, na ujumbe wake si wa kudharau.

Samia Suluhu Hassan, NaHapaipoMitanoTena.

View attachment 2946524View attachment 2946525
Wakati wa huni wanampiga mno nyuma yake.
 
Admin tunaomba nyuzi za aina hii zifutwe. Hazina nia njema ya kujenga nchi.
 
Hasara ya kutawaliwa na visiwani kupitia huyu bibi mtaiona 2030
 
Back
Top Bottom