Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Inaonekana wewe unafurahia kutoenda kaziniKikubwa hizi dini zote zinaleta public holidays, tunakula bata tu. Sijui wasabato nao wamekwama wapi wangeleta na wenyewe sikukuu zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana wewe unafurahia kutoenda kaziniKikubwa hizi dini zote zinaleta public holidays, tunakula bata tu. Sijui wasabato nao wamekwama wapi wangeleta na wenyewe sikukuu zao
Yaani mimi na sikukuu ni hivi🫶, hata kama kuna sikukuu ya shetani. Ikiwekwa kwenye calendar mi napita nayo tuuu. Hawa watu wa dini ukiwasikiliza sana wote wanabishana vitu ambavyo ancestors wao walivianzisha kwa kula bata tu hata hawakucomplicate kihiivyo.Inaonekana wewe unafurahia kutoenda kazini
InshallahWanavizia siku hizo za sikukuu na kuanzisha mizozo.Shida hadi kwenye kope.
Tangu 2000 sijui mlango wa kanisa, mtu asinifundishe namna ya kumwabudu Mungu wangu. Mungu wangu ninamjua moyoni mwangu. Sijafunguka baada ya kusoma uzi, ni siku nyingi, nilikuwa nasikilizia tu.Umesoma uzi na kufunguka mawazo au umebaki hivyohivyo kama kabla ya kuusoma?
Beba kilago chako urudi nyumbani.Safari ni ndefu.Tangu 2000 sijui mlango wa kanisa, mtu asinifundishe namna ya kumwabudu Mungu wangu. Mungu wangu ninamjua moyoni mwangu. Sijafunguka baada ya kusoma uzi, ni siku nyingi, nilikuwa nasikilizia tu.
😂🤣🤣🤣🤣Kikubwa hizi dini zote zinaleta public holidays, tunakula bata tu. Sijui wasabato nao wamekwama wapi wangeleta na wenyewe sikukuu zao
Misikiti "mingi" mikubwa Haina ..ila midogo inayo!??... Mkubwa na midogo ipi ni mingi!?? Wanaosali katika midogo wanakuwa sio waislamu!??Sio alama za uislamu na hazitumiwi katika ibada , msikiti mingi mkubwa haina.