Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini.
Kwaheri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu wachache waliokuwa wamebaki.
Tulipanga mwaka kesho tusheherekee pamoja miaka 50 ya upadre. Utuombee huko mbinguni.
Kwaheri rafiki yangu tulicheza pamoja basketball Ntungamo.
Tumwombee Mungu amlaze mahali pema mbinguni amina.