TANZIA Padri Wilfrid Dinho Wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora Afariki Dunia

TANZIA Padri Wilfrid Dinho Wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora Afariki Dunia

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414
FB_IMG_1614886458446.jpg

Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini.

Kwaheri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu wachache waliokuwa wamebaki.

Tulipanga mwaka kesho tusheherekee pamoja miaka 50 ya upadre. Utuombee huko mbinguni.

Kwaheri rafiki yangu tulicheza pamoja basketball Ntungamo.

Tumwombee Mungu amlaze mahali pema mbinguni amina.
 
Naogopaaaaa ila hakuna namna.
Apumnzike kwa amani padri huyo😪
 
ITALY WALIISHA MAPADRE RIP
KANISANI KUKAOGOPEKA AITAKUWA KWETU NJESUS NAME
 
View attachment 1717499

Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini....
Kwa heri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu wachache waliokuwa wamebaki. Tulipanga mwaka kesho tusheherekee pamoja miaka 50 ya upadre. Utuombee huko mbibguni. Kwa heri rafiki yangu tulicheza pamoja basketball Ntungamo. Tumwombee Mungu amlaze mahali pema mbinguni amina.
Wa 27 huyu kwa mujibu wa TEC.
 
View attachment 1717499

Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini....
Kwa heri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu wachache waliokuwa wamebaki. Tulipanga mwaka kesho tusheherekee pamoja miaka 50 ya upadre. Utuombee huko mbibguni. Kwa heri rafiki yangu tulicheza pamoja basketball Ntungamo. Tumwombee Mungu amlaze mahali pema mbinguni amina.
Huyu atakuwa wa 26.

Lord help us!
 
RIP Fr. Wilfrid Dinho na pole nyingi kwa wanaTabora na kanisa Katoliki.

Idadi ya wahanga waliotangulia mbele ya haki aliyotupa Father Dr. Kitima wa TEC Baraza la Maaskofu inazidi kuongezeka.
 
 
View attachment 1717499

Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini....

Kwa heri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu wachache waliokuwa wamebaki. Tulipanga mwaka kesho tusheherekee pamoja miaka 50 ya upadre. Utuombee huko mbibguni. Kwa heri rafiki yangu tulicheza pamoja basketball Ntungamo. Tumwombee Mungu amlaze mahali pema mbinguni amina.
Pole sana Askofu Ruzoka, Mapadre wenzake na Wakatoliki kwa ujumla wa Jimbo kuu la Tabora. Mungu amrehemu na kumpumzisha pema peponi. Amina.
 
Back
Top Bottom