Wa 27 huyu kwa mujibu wa TEC.View attachment 1717499
Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini....
Kwa heri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu wachache waliokuwa wamebaki. Tulipanga mwaka kesho tusheherekee pamoja miaka 50 ya upadre. Utuombee huko mbibguni. Kwa heri rafiki yangu tulicheza pamoja basketball Ntungamo. Tumwombee Mungu amlaze mahali pema mbinguni amina.
Wa 28 wameongezeka 3 wa Dar jana na Masasi jana hiyo hiyo na huyu wa Tabora, ila wa Dar alikuwa ni kijana sana changamoto ya kupumua imepiga hodi hadi kwa vijanaWa 27 huyu kwa mujibu wa TEC.
Huyu atakuwa wa 26.View attachment 1717499
Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini....
Kwa heri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu wachache waliokuwa wamebaki. Tulipanga mwaka kesho tusheherekee pamoja miaka 50 ya upadre. Utuombee huko mbibguni. Kwa heri rafiki yangu tulicheza pamoja basketball Ntungamo. Tumwombee Mungu amlaze mahali pema mbinguni amina.
Hapana, wale ni wa Dar es Salaam tu wa mikoani hawahusiki, juzi na jana huko mikoani ni watatu.Wa 27 huyu kwa mujibu wa TEC.
Wa 27 huyu kwa mujibu wa TEC.
Pole sana Askofu Ruzoka, Mapadre wenzake na Wakatoliki kwa ujumla wa Jimbo kuu la Tabora. Mungu amrehemu na kumpumzisha pema peponi. Amina.View attachment 1717499
Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini....
Kwa heri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu wachache waliokuwa wamebaki. Tulipanga mwaka kesho tusheherekee pamoja miaka 50 ya upadre. Utuombee huko mbibguni. Kwa heri rafiki yangu tulicheza pamoja basketball Ntungamo. Tumwombee Mungu amlaze mahali pema mbinguni amina.