Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Alikuwa mtu poa sana huyu padre, roho imeniuma sana. Mwalimu wangu wa kwanza wa Engilish. Kila jioni nilikuwa naenda ananifundisha English pale kwa ma padre. Dah.. imeniuma sana.Pole sana Askofu Ruzoka, Mapadre wenzake na Wakatoliki kwa ujumla wa Jimbo kuu la Tabora. Mungu amrehemu na kumpumzisha pema peponi. Amina.
Yeah tuwekw rekodi na sisiWa 27 huyu kwa mujibu wa TEC.
Alikuwa smart sana nami alikuwa mwalimu wangu wa kwanza wa kiingereza akija Mihayo kutufundisha akitokea Itaga Seminary. Alikuwa na utatu mtakatifu na huku akicheza Baisket ball na kuna kipindi alikuwa kocha wa timu maarufu mkoani Tabora zama hizo ikiumana na Uyui. Naizungumzia Mihayo Sec. Ila alikuwa na matatizo ya kiafya kwa muda mrefu sana. Kuna kipindi alikaa sana hapa Dar. R.I.P DinohAlikuwa mtu poa sana huyu padre, roho imeniuma sana. Mwalimu wangu wa kwanza wa Engilish. Kila jioni nilikuwa naenda ananifundisha English pale kwa ma padre. Dah.. imeniuma sana.
Ameniuma sana, bado naona picha yake inakuja kichwani full, kipe kipindi tunakaa pamoja na kuongea mambo kadha kunifundisha na kunipa moyo na kunijengea moyo wa kujiamini katika uwezo wangu. ππAlikuwa smart sana nami alikuwa mwalimu wangu wa kwanza wa kiingereza akija Mihayo kutufundisha akitokea Itaga Seminary. Alikuwa na utatu mtakatifu na huku akicheza Baisket ball na kuna kipindi alikuwa kocha wa timu maarufu mkoani Tabora zama hizo ikiumana na Uyui. Naizungumzia Mihayo Sec. Ila alikuwa na matatizo ya kiafya kwa muda mrefu sana. Kuna kipindi alikaa sana hapa Dar. R.I.P Dinoh
Mungu mpokea mtumishi wako AmenView attachment 1717499
Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini....
Kwa heri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu wachache waliokuwa wamebaki. Tulipanga mwaka kesho tusheherekee pamoja miaka 50 ya upadre. Utuombee huko mbibguni. Kwa heri rafiki yangu tulicheza pamoja basketball Ntungamo. Tumwombee Mungu amlaze mahali pema mbinguni amina.
Sawa kabisa,R.I.P Baba PadreKanisa Katoliki linapaswa kuchukua msimamo thabit kuwalinda walei, watawa na makreli wote.
-Lianze sasa kutoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya korona bila kukoma na katika taasisi zake zote.
-Kanisa likemee bila uoga upotoshaji wa aina yeyote unaokataa uwepo wa ugonjwa wa korona.
-Kanisa lihamasishe upatikanaji wa chanjo kupitia wafadhiri wake ili kuweza kuyakinga makundi ya makreli, watawa na manesi ambao wako katika hatari kubwa ya kupata maambukizi.
-kanisa liandae mpango wa upatikanaji wa chanjo kwa waumini wake hata kama itakuwa kwa kuchangia gharama.
nani aliyechora hii katuni anastahili tunzo...πππApumzike kwa amani Fr. Wilfrid.
Chanjo ya bure kwenye ule mpango wa COVAX wa WHO ingeweza kumnusuru Padre huyu.
View attachment 1717503
Tuweke kwenye rekodi. Roho nyingine yapotea kizembe.
mwanga wa milele umuangazie eeh Bwana.πView attachment 1717499
Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini.
Kwaheri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu wachache waliokuwa wamebaki.
Tulipanga mwaka kesho tusheherekee pamoja miaka 50 ya upadre. Utuombee huko mbinguni.
Kwaheri rafiki yangu tulicheza pamoja basketball Ntungamo.
Tumwombee Mungu amlaze mahali pema mbinguni amina.
Padri wa 27.View attachment 1717499
Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini.
Kwaheri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu wachache waliokuwa wamebaki.
Tulipanga mwaka kesho tusheherekee pamoja miaka 50 ya upadre. Utuombee huko mbinguni.
Kwaheri rafiki yangu tulicheza pamoja basketball Ntungamo.
Tumwombee Mungu amlaze mahali pema mbinguni amina.
Tunashukuru kwa taarifaAlikuwa smart sana nami alikuwa mwalimu wangu wa kwanza wa kiingereza akija Mihayo kutufundisha akitokea Itaga Seminary. Alikuwa na utatu mtakatifu na huku akicheza Baisket ball na kuna kipindi alikuwa kocha wa timu maarufu mkoani Tabora zama hizo ikiumana na Uyui. Naizungumzia Mihayo Sec. Ila alikuwa na matatizo ya kiafya kwa muda mrefu sana. Kuna kipindi alikaa sana hapa Dar. R.I.P Dinoh
Kifo hakikimbiliki..!! Kuna mdau hapo kaeleza kuwa alikuwa na matatizo ya kiafya kwa mda mrefu sana...!! So Mungu kaamua kumchukua mja wake.Kanisa Katoliki linapaswa kuchukua msimamo thabit kuwalinda walei, watawa na makreli wote.
-Lianze sasa kutoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya korona bila kukoma na katika taasisi zake zote.
-Kanisa likemee bila uoga upotoshaji wa aina yeyote unaokataa uwepo wa ugonjwa wa korona.
-Kanisa lihamasishe upatikanaji wa chanjo kupitia wafadhiri wake ili kuweza kuyakinga makundi ya makreli, watawa na manesi ambao wako katika hatari kubwa ya kupata maambukizi.
-kanisa liandae mpango wa upatikanaji wa chanjo kwa waumini wake hata kama itakuwa kwa kuchangia gharama.
Usiwashangae . Nchi hii tumejiwekea kitanzi sisi wenyewe. Kuna mtu amepewa mamlaka za kimbingu na katiba ya nchi, na jambo lisilompendeza yeye basi inatakiwa wote mlichukie bila kuhoji . Hapo ndipo tulipokwamiaMimi nawashangaa akina Father Kitima, kazi kulaumu serikali tu wakati wao kama kanisa wamechukua hatua gani? wafunge makanisa hadi janga hili lipungue, Italy na Ulaya walifunga. Hapa nini kinashindikana? Kututajia idadi ya mapadre na ma sister wanaokufa sio suluhisho hata kidogo, kanisa wachukue hatua wao, maana jumuia zinaendelea, mikusanyiko makanisani inaendelea, alafu akifa padre lawama kwa serikali, kwani serikali ndio imewaua? kipi kigumu wasisitishe kanisa kwa miezi kadhaa? Au hawaoni Italy etc
Usiishie kumlaumu mtu wakati una nafasi ya kuchukua hatua za kukuponya. Mwaka jana kuna Askofu alisitisha ibada kwenye jimbo lake na Serikali haikumuingilia. Tusilaumu kwa sababu tuna chuki na mtu fulani haitosaidiaUsiwashangae . Nchi hii tumejiwekea kitanzi sisi wenyewe. Kuna mtu amepewa mamlaka za kimbingu na katiba ya nchi, na jambo lisilompendeza yeye basi inatakiwa wote mlichukie bila kuhoji . Hapo ndipo tulipokwamia