rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 147
Ndugu zangu salama?
Naomba kujua kama nina mtoto wa miaka 6.
1)Naweza kupata wapi utaalamu wa kumfanya kama watoto wengine awe na hamu ya kijisomea,bila vitisho.eg kwenye bus akiwa na kitabu akitoe mwenyewe ajisomee?Nahisi ndio inaitwa self motivation.
2)Kuna wakati nilifikiri ana matatizo ya miguu lakini hospitali ya CCBRT-DAR wakasema hapana ni kawaida hiyo miguu ilivyo.
Lakini muda ulivyokwenda sasa ana tatizo la kutoboa socks-huwa hazidumu zaidi ya siku 14 hata kama ni stockings.
3)La mwisho ni kuwa kama yuko kwenye michezo eg kukimbia shuleni,hata waalimu wanaogopa jinsi anavyodondoka mara kwa mara.
Kichwani yuko sawa na anafanya vizuri shuleni.
Naomba msaada kama hata mnajua wapi au nani anaweza kunipatia tiba
.
Naomba kujua kama nina mtoto wa miaka 6.
1)Naweza kupata wapi utaalamu wa kumfanya kama watoto wengine awe na hamu ya kijisomea,bila vitisho.eg kwenye bus akiwa na kitabu akitoe mwenyewe ajisomee?Nahisi ndio inaitwa self motivation.
2)Kuna wakati nilifikiri ana matatizo ya miguu lakini hospitali ya CCBRT-DAR wakasema hapana ni kawaida hiyo miguu ilivyo.
Lakini muda ulivyokwenda sasa ana tatizo la kutoboa socks-huwa hazidumu zaidi ya siku 14 hata kama ni stockings.
3)La mwisho ni kuwa kama yuko kwenye michezo eg kukimbia shuleni,hata waalimu wanaogopa jinsi anavyodondoka mara kwa mara.
Kichwani yuko sawa na anafanya vizuri shuleni.
Naomba msaada kama hata mnajua wapi au nani anaweza kunipatia tiba
.